RAIS SAMIA ATEUA MABALOZI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuziwa Mabalozi kama ifuatavyo:i) Amemteua Meja Jenerali Ramson Godwin Mwaisaka kuwa Balozi. Kabla yauteuzi huo, Meja Jenerali Mwaisaka alikuwa Mkuu wa Kamandi ya Jeshi laWanamaji (JWTZ).ii) Amemteua Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli kuwa Balozi. Kabla ya uteuzi huoMeja Jenerali Simuli alikuwa Mkuu wa […]
Read More