RAIS SAMIA ATEUA MABALOZI

RAIS SAMIA ATEUA MABALOZI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuziwa Mabalozi kama ifuatavyo:i) Amemteua Meja Jenerali Ramson Godwin Mwaisaka kuwa Balozi. Kabla yauteuzi huo, Meja Jenerali Mwaisaka alikuwa Mkuu wa Kamandi ya Jeshi laWanamaji (JWTZ).ii) Amemteua Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli kuwa Balozi. Kabla ya uteuzi huoMeja Jenerali Simuli alikuwa Mkuu wa […]

Read More
 RAIS SAMIA AFUNGUA RASMI IKULU CHAMWINO DODOMA

RAIS SAMIA AFUNGUA RASMI IKULU CHAMWINO DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akivuta kamba pamoja na Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango kuashiria ufunguzi wa Jengo la Ikulu ya Chamwino huku viongozi mbalimbali wakishuhudiakatika Sherehe zilizofanyika kwenye viwanja vya Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 20 Mei, 2023. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. […]

Read More
 420 WAPIMWA MOYO MANYARA

420 WAPIMWA MOYO MANYARA

Baadhi wa wataalam wa afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wenzao wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Manyara (MRRH) wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumalizika kwa kambi maalum ya siku tano ya matibabu ya moyo leo Mkoani Manyara. Jumla ya watu 420 wamefanyiwa uchunguzi na matibabu ya moyo katika kambi […]

Read More
 NYANGASA: KISARAWE JITOKEZENI KUPIMA MOYO

NYANGASA: KISARAWE JITOKEZENI KUPIMA MOYO

Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Mhe.Fatma Nyangasa akizungumza na wananchi waliofika katika Hospitali ya wilaya hiyo kwajili ya kupata huduma ya uchunguzi na matibabu ya moyo wakati wa kambi maalum ya siku tatu ya matibabu inayofanyika wilayani humo. Wananchi wa Kisarawe na wilaya jirani wametakiwa kujitokeza kwa wingi kupata huduma za upimaji, ushauri  na matibabu ya […]

Read More