RAIS SAMIA ATEUA MAJAJI WAPYA SITA MAHAKAMA YA RUFANI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameteua Majaji sita wa Mahakama Kuu ya Tanzania kuwa Majaji wa Mahakama ya Rufani. Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu, Bi Zuhura Yunus leo tarehe 18 Mei, 2023 imesema uteuzi huo umeanza tangu tarehe 28 Aprili, 2023 na wateule hao […]
Read More