MASHINDANO YA NETIBOLI YAFANA MALYA
Kwa muda wa mwezi mmoja sasa katika viwanja vya ndani vya Chuo Cha Maendeleo yaMichezo Malya kunafanyika Ligi ya Netiboli inayokusanya timu kadhaa za eneo la Malya wilayaya Kwimba, Mkoani Mwanza ambapo sasa yamefikia nusu fainali. Ligi hiyo iliyoanza Mei 1, 2023 Malya Queen Walifungua dimba na Malya Sekondari, MalyaQueen wakishinda kwa magoli 21 kwa […]
Read More