KATIBU MKUU-UTUMISHI ATAKA MALALAMIKO, MAONI YA WANANCHI KUJIBIWA KWA WAKATI KUPITIA MIFUMO YA KIDIGITALI

KATIBU MKUU-UTUMISHI ATAKA MALALAMIKO, MAONI YA WANANCHI KUJIBIWA KWA WAKATI KUPITIA MIFUMO YA KIDIGITALI

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Juma Mkomi akifungua kikao kazi cha Maafisa Waandamizi wa Taasisi za Umma na Vyama vya Kitaaluma kilicholenga kujadili matumizi na uendeshaji wa mifumo ya kidigitali kilichofanyika jijini Dodoma. Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Juma Mkomi amewataka Wakuu wa Idara ya Utawala […]

Read More

SERIKALI ITAJENGA MAGHALA YA CHAKULA NCHI NZIMA-SAMIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesemaSerikali imepanga kununua chakula na kuweka akiba katika maghala kwa kiasi chatani laki tano kwa mwaka huu ikilinganishwa na tani laki mbili na hamsini kwa mwakauliopita.Rais Samia ameyasema hayo leo katika Tamasha la Utamaduni la Bulabo ambalo nisherehe za kumshukuru Mungu kwa mavuno lililofanyika […]

Read More
 USANIFU KITUO CHA HUDUMA ZA PAMOJA MPAKA WA MANYOVU WAKAMILIKA

USANIFU KITUO CHA HUDUMA ZA PAMOJA MPAKA WA MANYOVU WAKAMILIKA

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akijibu swali bungeni, jijini Dodoma Serikali imeeleza kuwa imekamilisha usanifu wa Kituo cha Huduma za Pamoja Mpakani (One Stop Boarder Post- OSBP) Manyovu kilichopo mkoani Kigoma na ujenzi upo kwenye taratibu za awali za kumpata mkandarasi. Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri […]

Read More
 BUNGE LAPITISHA MUSWADA WA MAREKEBISHO SHERIA YA PPP

BUNGE LAPITISHA MUSWADA WA MAREKEBISHO SHERIA YA PPP

Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (MB), akiwasilisha bungeni, Muswada wa marekebisho ya Sheria ya Ubia baina ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi wa mwaka 2023, jijini Dodoma  Bunge limepitisha Muswada wa marekebisho ya Sheria ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi wa mwaka 2023 ambayo itawasilishwa […]

Read More
 MATIVILA WA TANROADS ATEULIWA KUWA  NAIBU KATIBU MKUU OFISI YA RAIS -TAMISEMI (MIUNDOMBINU)

MATIVILA WA TANROADS ATEULIWA KUWA NAIBU KATIBU MKUU OFISI YA RAIS -TAMISEMI (MIUNDOMBINU)

Mhandisi Rogatus Hussein Mativila Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassanamewateua wafuatao:-i) Amemteua Mhandisi Rogatus Hussein Mativila kuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisiya Rais – TAMISEMI (Miundombinu). Mhandisi Mativila alikuwa MtendajiMkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS).ii) Amemteua Mhandisi Mohamed Besta kuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala waBarabara Tanzania (TANROADS). Mhandisi Besta ni […]

Read More
 TANZANIA YAZINDUA UBALOZI WAKE VIENNA, AUSTRIA

TANZANIA YAZINDUA UBALOZI WAKE VIENNA, AUSTRIA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Stergomena Tax akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa Ubalozi na Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa mataifa Vienna, Austria. Pamoja naye ni Naibu Waziri wa Austria aneyeshughulikia masuala ya Ulaya na Uhusiano wa Kimataifa Mhe. Peter Launsky-Tieffenthal ambaye alihudhuria hafla hiyo […]

Read More
 RAIS DKT. SAMIA ATUNUKIWA TUZO YA HESHIMA NA TFF

RAIS DKT. SAMIA ATUNUKIWA TUZO YA HESHIMA NA TFF

Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma (kulia)akipokea Tuzo ya Heshima kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaMhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kutoka kwa Rais wa Shirikisho la Mpira wa MiguuTanzania (TFF) Ndg. Wallace Karia (kushoto) ikiwa ni kutambua mchango wake katikakuendeleza Soka nchini.Tuzo hiyo ameipokea katika Usiku wa […]

Read More
 BENKI KUU YAZUNGUMZA NA BUNGE KUHUSU HALI YA UCHUMI NA FEDHA ZA KIGENI

BENKI KUU YAZUNGUMZA NA BUNGE KUHUSU HALI YA UCHUMI NA FEDHA ZA KIGENI

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Bw. Emmanuel Tutuba, akizungumza katika semina kwa waheshimiwa Wabunge iliyofanyika leo jijini Dodoma katika Ukumbi wa Bunge wa Pius Msekwa.  Benki Kuu ya Tanzania imetoa semina kwa waheshimiwa Wabunge jijini Dodoma kuhusu mwenendo wa uchumi wa dunia, athari za mwenendo huo kwenye upatikanaji wa fedha za kigeni, na hatua zinazochukuliwa […]

Read More