WAZIRI MKUU ATOA AGIZO KWA WATENDAJI WA HALMASHAURI

WAZIRI MKUU ATOA AGIZO KWA WATENDAJI WA HALMASHAURI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipongezwa na Mawaziri na Wabunge baada ya kutoa hoja ya kuahirisha Mkutano wa 11 wa Bunge la 12 mpaka Agosti 29, mwaka huu. WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezielekeza halmashauri zote nchini zihakikishe maeneo yote yanayotwaliwa kutoka kwa wananchi yanalipiwa fidia kwa wakati ili kuepusha migogoro inayoweza kujitokeza siku za usoni.  Amesema […]

Read More
 KUBENEA AIPONGEZA SERIKALI KURUHUSU GAZETI LA MWANAHALISI KURUDI MTAANI

KUBENEA AIPONGEZA SERIKALI KURUHUSU GAZETI LA MWANAHALISI KURUDI MTAANI

MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya HaliHalisi Publishers linalochapisha gazeti la MwanaHalisi, Saed Kubenea amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi wake wa kulifungulia gazeti hilo pamoja na magazeti mengine ambayo yalikuwa yanefungwa na Serikali ya mtangulizi wake. Akizungumza leo Juni 28,2023 Jijini Dar es Salaam, ameiomba Serikali na Mamlaka zake endapo litaona gazeti hilo limeandika […]

Read More
 DKT. MSONDE ASISITIZA WALIMU KUPEWA HUDUMA BORA

DKT. MSONDE ASISITIZA WALIMU KUPEWA HUDUMA BORA

Naibu Katibu Mkuu (Elimu), Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Dkt. Charles Msonde akikagua moja ya miundombinu ya elimu inayojengwa katika Halmashuri ya Wilaya ya Uyui akiwa katika ziara yake ya kikazi wilayani humo. Naibu Katibu Mkuu (Elimu), Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali zaMitaa Dkt. Charles Msonde amewataka […]

Read More
 MAJENGO MAPYA YA WIZARA KUANZA KUTUMIKA JANUARI 2024

MAJENGO MAPYA YA WIZARA KUANZA KUTUMIKA JANUARI 2024

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Takwimu zinaeleza kuwa miji inakadiriwa kuzalisha asilimia 80 ya ukuaji wote wa uchumi. Hivyo hakuna shaka kuwa Mji wa Serikali nchini Tanzania  ambao upo katika Kata ya Ihumwa kilomita 17 kutoka katikati ya mji wa Dodoma wenye ukubwa wa ekari 1,542.88 uliogawanyika  katika maeneo tofauti ya […]

Read More