DKT. MSONDE AELEKEZA NGUVU KAZI IONGEZWE UTEKELEZAJI MIRADI YA MIUNDOMBINU YA ELIMU SIKONGE NA TABORA MANISPAA

DKT. MSONDE AELEKEZA NGUVU KAZI IONGEZWE UTEKELEZAJI MIRADI YA MIUNDOMBINU YA ELIMU SIKONGE NA TABORA MANISPAA

Naibu Katibu Mkuu (Elimu), Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Dkt. Charles Msonde akisisitiza jambo wakati akikagua ujenzi wa bweni katika Shule ya Sekondari ya Milambo iliyopo Manispaa ya Tabora. Naibu Katibu Mkuu (Elimu), Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali zaMitaa Dkt. Charles Msonde amewaelekeza viongozi wa Halmashauri yaWilaya […]

Read More
 CHINA KUTOA USHIRIKIANO WA KUTOSHA TANZANIA KATIKA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA KUZALISHA MAJI

CHINA KUTOA USHIRIKIANO WA KUTOSHA TANZANIA KATIKA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA KUZALISHA MAJI

BALOZI wa China nchini Tanzania Mhe.Chen Mingjian amefanya ziara kutembelea na kukagua Maendeleo ya Utekelezaji wa Mradi wa upanuzi wa Mtambo wa kuzalisha Maji Wami ambapo ameahidi kutoa ushirikiano wa kutosha kwa wasimamizi wa mradi huo DAWASA. Akizungumza katika ziara hiyo leo Juni 26,2023 amesema Serikali ya China iko tayari kuendelea kushirikiana na Serikali ya […]

Read More
 CHONGOLO AIPONGEZA SERIKALI KUTATUA CHANGAMOTO YA MAJI DODOMA

CHONGOLO AIPONGEZA SERIKALI KUTATUA CHANGAMOTO YA MAJI DODOMA

KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ameipongeza serikali katika kutatua changamoto ya maji jijini DodomaChongolo ameyasema hayo wakati alipokwenda kukagua mradi wa maji ikiwa ni siku ya mwisho ya ziara yake mkoani Dodoma.Alisema serikali imefanya kazi kubwa katika kuelekea kutatua changamoto ya uhaba wa maji kwa kutekeleza miradi ya maji.“Kazi kubwa kubwa […]

Read More
 BRELA YATEKELEZA WAJIBU WAKE KWA JAMII

BRELA YATEKELEZA WAJIBU WAKE KWA JAMII

 Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), leo tarehe 24, Juni 2023 imetekeleza wajibu wake kwa jamii kwa kufanya usafi katika Soko la Buguruni, Ilala jijini Dar es Salaam. Katika kutekeleza zoezi hilo BRELA imetoa vifaa mbalimbali vya usafi na kuungana na wafanyabiashara wa soko hilo kufanya usafi. Akitoa salam za Afisa Mtendaji Mkuu […]

Read More
 RAIS SAMIA ASHIRIKI TAMASHA LA VYAKULA VYA BAHARI ZANZIBAR

RAIS SAMIA ASHIRIKI TAMASHA LA VYAKULA VYA BAHARI ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwapungia mkono wananchi mara baada ya kuwasili kwenye msimu wa pili wa Tamasha la Vyakula vya Baharini (Zanzibar Seafood Festival 2023) lililofanyika katika ufukwe wa Kendwa Mkoa wa Kaskazini Unguja, Zanzibar tarehe 23 Juni, 2023. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia […]

Read More
 NDEJEMBI AWAAGIZA MAAFISA ELIMU KUSIMAMIA UJENZI WA MIRADI YA ELIMU USIKU NA MCHANA

NDEJEMBI AWAAGIZA MAAFISA ELIMU KUSIMAMIA UJENZI WA MIRADI YA ELIMU USIKU NA MCHANA

Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali (TAMISEMI), Mhe.Deogratius Ndejembi (Mb) amewaagiza Maafisa Elimu wa Mikoa naMaafisa Elimu wa Sekondari wa Halmashauri nchini kuhakikishawanasimamia ujenzi wa miradi ya elimu usiku na mchana ili ikamililikeifakapo Agosti 2023 na kuwawezesha wanafunzi wa kidato cha Tanokupata miundombinu bora ya elimu.Mhe. Ndejembi ametoa maelekezo hayo leo […]

Read More