TANZANIA NA URUSI KUSHIRIKIANA KATIKA KUENEZA LUGHA YA KISWAHILI
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu (wa nnekulia) na Balozi wa Urusi nchini Mhe. Andrey Avetisyan (wa tatu kushoto) wakiwakwenye picha ya Pamoja mara baada ya kikao kikao chao Juni 21, 2023 jijini Dar esSalaam ambapo wamejadili namna bora ya Tanzania na Urusi kushirikiana katika sektaya Utamaduni na Sanaa kwa […]
Read More