WAZIRI KAIRUKI AISHUKURU TAASISI YA UTAFITI WA KIMATAIFA MATIBABU YA HENRY JACKSON KWA KUCHANGIA MAPAMBANO DHIDI YA VVU/UKIMWI

WAZIRI KAIRUKI AISHUKURU TAASISI YA UTAFITI WA KIMATAIFA MATIBABU YA HENRY JACKSON KWA KUCHANGIA MAPAMBANO DHIDI YA VVU/UKIMWI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Angellah Kairuki akizungumza na Rais na Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Kimataifa wa Matibabu ya Henry Jackson, Meja Generali Mstaafu Dkt. Joseph Caravalho ambaye taasisi yake inatoa mchango katika mapambano dhidi ya maambukizi ya VVU na UKIMWI. Waziri […]

Read More
 KATIBU MKUU UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO ASISITIZA WATENDAJI SEKTA YA SANAA KUWA WABUNIFU KATIKA UTENDAJI KAZI

KATIBU MKUU UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO ASISITIZA WATENDAJI SEKTA YA SANAA KUWA WABUNIFU KATIKA UTENDAJI KAZI

Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu (kulia)akipewa taarifa ya utendaji kazi na Mfuko wa Utamaduni na Sanaa Tanzania naMtendaji Mkuu Nyakaho Mahemba (kushoto) Juni 20, 2023 jijini Dar es Salaam wakatiwa ziara ya kikazi katika wa Mfuko huo. Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amewasisitiza […]

Read More
 WAZIRI TAX AWAAGA MABALOZI WA EU, UJERUMANI NA NORWAY

WAZIRI TAX AWAAGA MABALOZI WA EU, UJERUMANI NA NORWAY

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.) amekutana na kuwaaga mabalozi watatu waliokuwa wanaziwakilisha nchi zao hapa nchini baada ya kumaliza muda wao wa uwakilishi. Dkt. Tax amewaaga mabalozi hao katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam. Mabalozi walioagwa ni Balozi wa Jumuiya ya Umoja […]

Read More
 PEMBA WAFIKIWA NA HUDUMA BOBEZI ZA MATIBABU YA MOYO

PEMBA WAFIKIWA NA HUDUMA BOBEZI ZA MATIBABU YA MOYO

Daktari bingwa mbobezi wa magonjwa ya moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Tulizo Shemu akimwelezea mkazi wa Pemba jinsi upasuaji wa moyo wa bila kufungua kifua kupitia tundu dogo jinsi unavyofanyika katika Taasisi hiyo wakati wa kambi ya matibabu ya siku tano inayofanyika katika Hospitali ya Rufaa ya Abdulla Mzee iliyopo wilaya ya […]

Read More
 SERIKALI YATOA SHILINGI BILIONI 3.6 KUBORESHA MIUNDOMBINU JKCI

SERIKALI YATOA SHILINGI BILIONI 3.6 KUBORESHA MIUNDOMBINU JKCI

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt.Peter Kisenge akimuelezea Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Seif Shekalaghemaendeleo ya ujenzi wa jengo la Utawala na vipimo alipotembelea jengo hilo leokwa ajili ya kuangalia maendeleo ya ujenzi. Shilingi bilioni 3.6 zimetolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Mhe. Dkt. Samia Suhulu Hassan kujenga […]

Read More