WAZIRI KAIRUKI AISHUKURU TAASISI YA UTAFITI WA KIMATAIFA MATIBABU YA HENRY JACKSON KWA KUCHANGIA MAPAMBANO DHIDI YA VVU/UKIMWI
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Angellah Kairuki akizungumza na Rais na Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Kimataifa wa Matibabu ya Henry Jackson, Meja Generali Mstaafu Dkt. Joseph Caravalho ambaye taasisi yake inatoa mchango katika mapambano dhidi ya maambukizi ya VVU na UKIMWI. Waziri […]
Read More