TANZANIA YAADHIMISHA SIKU YA YOGA DUNIANI

TANZANIA YAADHIMISHA SIKU YA YOGA DUNIANI

Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. SaidiYakubu akishiriki mazoezi wakati wa maadhimisho ya Siku ya Yoga Duniani ambayohuadhimishwa Juni 18, kila mwaka ambayo yamefanyika katika viwanja vya Gym Kanajijini Dar es salaam.kwa Tanzania na kuhudhuriwa na watu mbalimbali akiwemo Baloziwa India nchini Bw. Binaya Srikanta Pradhan na Mratibu Mkazi wa Umoja wa […]

Read More
 SERIKALI YATOA RAI KWA WATUMISHI WA UMMA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI

SERIKALI YATOA RAI KWA WATUMISHI WA UMMA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI

Serikali kupitia Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma naUtawala Bora imetoa rai kwa Taasisi Simamizi na Vyama vya Kitaalumakuhimiza na kuwasimamia watumishi kutoa huduma bora kwa wananchikwa kuzingatia Sheria, Kanuni, Taratibu na Miongozo iliyopo ili kupunguzamalalamiko kutoka kwa wananchi.Rai hiyo imetolewa Jijini Dodoma na Mwakilishi wa Katibu Mkuu Ofisi yaRais, Menejimenti ya Utumishi […]

Read More
 RAIS SAMIA APOKEA GAWIO LA SERIKALI TSH. BIL. 45.5 KUTOKA BENKI YA NMB, KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 25 YA BENKI HIYO

RAIS SAMIA APOKEA GAWIO LA SERIKALI TSH. BIL. 45.5 KUTOKA BENKI YA NMB, KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 25 YA BENKI HIYO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea mfano wa Hundi ya Shilingi Bilioni 45.5 (Gawio la Serikali) kutoka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB Bi. Ruth Zaipuna kwenye maadhimisho ya miaka 25 ya Benki ya NMB yaliyofanyika Mlimani City Jijini Dar es Salaamtarehe 17 Juni, 2023. Wengine katika […]

Read More
 KAMATI YA BAJETI: YAIPONGEZA MAHAKAMA KWA KUPIGA HATUA MATUMIZI YA TEH

KAMATI YA BAJETI: YAIPONGEZA MAHAKAMA KWA KUPIGA HATUA MATUMIZI YA TEH

Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania Prof. Elisante Ole Gabriel akitoa mada leo tarehe 16 Juni 2023 jijini Dodoma wakati wa mafunzo kwa Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti kuhusu maboresho yanayoendelea kufanywa na Mahakama. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imeipongeza Mahakama ya Tanzania kutokana na  hatua kubwa iliyopiga kwenye matumizi ya Teknolojia ya Habari […]

Read More
 PROF. MBARAWA: BARABARA ZA EPC + F HAZITALIPIWA

PROF. MBARAWA: BARABARA ZA EPC + F HAZITALIPIWA

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa akizungumza wakati wa utiaji saini wa miradi ya ujenzi wa barabara saba zenye urefu wa kilometa 2,035 jijini Dodoma Juni 16, 2023 Serikali imesema kuwa utekelezaji wa miradi saba ya ujenzi wa barabara kwa njia ya EPC+ F haitalipiwa na wananchi watakaotumia barabara hizo kama ambavyo baadhi […]

Read More
 SERIKALI YAZIDI KUWEKA MIKAKATI KATIKA KUIMARISHA MAADILI

SERIKALI YAZIDI KUWEKA MIKAKATI KATIKA KUIMARISHA MAADILI

Mwakilishi wa Katibu Mkuu  Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw.Cosmas Ngangaji akizungumza Jijini Dodoma  na Maafisa Waandamizi kwenye kikao kazi kilichozikutanisha Taasisi Simamizi za Maadili na Vyama vya Kitaaluma kwa lengo la kusimamia dhana ya utawala bora katika utoaji huduma kwa wananchi. Kushoto ni Mkurugenzi wa Usimamizi wa Madilli kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bi. Leila […]

Read More
 SERIKALI NA CCM KUBORESHA MIUNDOMBINU YA MICHEZO NCHINI

SERIKALI NA CCM KUBORESHA MIUNDOMBINU YA MICHEZO NCHINI

Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubuakiongoza kikao cha pamoja na kati ya Wizara na ujumbe kutoka Chama cha Mapinduzi(CCM) kilichofanyika Juni 16, 2023 jijini Dodoma ambapo wamejadili namna bora yakuboresha miundombinu ya michezo nchini. Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amekutana na kufanya kikao cha […]

Read More