WAWEKEZAJI WAKUMBUSHWA KUENDELEA KUCHANGIA KATIKA MIRADI YA MAENDELEO
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) Peramiho akizungumza na Wananchi katika kijiji cha Nakawale alipotembelea kujionea miradi mbalimbali ya maendeleo. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) Peramiho ametoa rai kwa wawekezaji wa mbalimbali katika jimbo la Peramiho […]
Read More