RAIS SAMIA: AFRIKA SIO SALAMA KWA WALA RUSHWA

RAIS SAMIA: AFRIKA SIO SALAMA KWA WALA RUSHWA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi wa Taasisi mbalimbali, Wanafunzi pamoja na Wananchi wakati wa Kilele chaMaadhimisho ya Siku ya Mapambano dhidi ya Rushwa Barani Afrika yaliyofanyika katika ukumbi wa Nyasa uliopo kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa AICC Jijini Arusha tarehe 11 Julai, 2023. Rais wa […]

Read More
 RAIS DKT. SAMIA AMETEKELEZA NIA YAKE YA DHATI KATIKA KUWAFIKIA WATANZANIA WENYE MAHITAJI KUPITIA TASSAF-RIDHIWANI

RAIS DKT. SAMIA AMETEKELEZA NIA YAKE YA DHATI KATIKA KUWAFIKIA WATANZANIA WENYE MAHITAJI KUPITIA TASSAF-RIDHIWANI

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na UtawalaBora Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametekeleza nia yake ya dhatikatika kuwafikia Watanzania wenye mahitaji kupitia mradi wa TASAF ilikuwanusuru wananchi walio na hali duni ya maisha. Mhe. Kikwete ameyasema hayo wakati akizungumza na […]

Read More
 MHE. RIDHIWANI ASISITIZA UTUMISHI WA UMMA WENYE TIJA ILI KUENDANA NA AZMA YA MHE. RAIS DKT. SAMIA YA KULETA MAENDELEO KWA TAIFA

MHE. RIDHIWANI ASISITIZA UTUMISHI WA UMMA WENYE TIJA ILI KUENDANA NA AZMA YA MHE. RAIS DKT. SAMIA YA KULETA MAENDELEO KWA TAIFA

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na watumishi wa Mkoa wa Pwani na Halmashauri ya Mji wa Kibaha wakati wa ziara yake ya kikazi mkoani humo iliyolenga kuhimiza uwajibikaji na kutatua changamoto zinazowakabili watumishi hao. Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa […]

Read More
 MAWAZIRI SADC WAJADILI HALI YA AMANI DRC, MSUMBIJI

MAWAZIRI SADC WAJADILI HALI YA AMANI DRC, MSUMBIJI

Mkutano wa Kamati ya Mawaziri wa Asasi ya Ushirikiano katika Masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya  Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imefanya Mkutano wa Dharura kwa njia ya mtandao kwa lengo la kujadili hali ya ulinzi na usalama Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya  Congo (DRC) na Msumbiji. Mkutano huo umeongozwa na […]

Read More
 DHIMA YA SERIKALI NI KUIMARISHA JKT- RAIS SAMIA

DHIMA YA SERIKALI NI KUIMARISHA JKT- RAIS SAMIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajab Mabele wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma tarehe 10 Julai, 2023. Rais wa […]

Read More
 WAZIRI SIMBACHAWENE AZIASA NCHI ZA AFRIKA KUWA NJIA YA PAMOJA YA KUPAMBANA NA TATIZO LA RUSHWA

WAZIRI SIMBACHAWENE AZIASA NCHI ZA AFRIKA KUWA NJIA YA PAMOJA YA KUPAMBANA NA TATIZO LA RUSHWA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akifungua Kongamano la kujadili namna bora ya kupambana na rushwa ikiwa ni siku ya pili ya Maadhimisho ya Siku ya Kupambana na Rushwa Barani Afrika ambayo hufanyika kila mwaka Julai 11, na mwaka huu 2023 maadhimisho hayo yanafanyika hapa Tanzania, jijini […]

Read More