NEC YAPOKEA NA KUJADILI KWA KINA MAKUBALIANO UWEKEZAJI BANDARI
HALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (NEC) imepokea na kujadili kwa kina taarifa ya makubaliano ya uwekezaji na uendeshaji wa bandari ambapo imeazimia kuwa uwekezaji na uendeshaji wa bandari una manufaa kwa uchumi wa nchi. Imesisitiza kuwa uwekezaji huo ni utekelezaji wa vitendo wa Ilani ya CCM ya Mwaka 2020 – 2025, ibara ya […]
Read More