RAIS SAMIA NA RAIS WA MALAWI DKT. LAZARUS CHAKWERA WASHUHUDIA UTIAJI SAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (Mou) KATI YA TANZANIA NA MALAWI KUSHIRIKIANA KWENYE TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO (TEHAMA)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Mwenyeji wake Rais wa Malawi Mhe. Dkt. Lazarus McCarthy Chakwera wakati wakishuhudia utiajiSaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) kati ya Tanzania na Malawi kuhusiana na mashirikiano kwenye Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) mara baada ya mazungumzo yao Lilongwe nchini Malawi tarehe 7 […]
Read More