RAIS SAMIA ATEMBELEA BUNGE LA MALAWI, AWEKA SHADA LA MAUA KWENYE KABURI LA RAIS WA KWANZA WA NCHI HIYO HAYATI KAMUZU BANDA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiweka shada la maua kwenye kaburi la Rais wa Kwanza wa Malawi na Baba wa Taifa hilo Hayati Dkt. Kamuzu Banda lililopo katika Makumbusho ya Kamuzu, Lilongwe nchini Malawi tarehe 6Julai, 2023. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana […]
Read More