KINANA AKUTANA NA KIONGOZI WA NATIONAL DEMOCRATIC INSTITUTE YA MAREKANI

KINANA AKUTANA NA KIONGOZI WA NATIONAL DEMOCRATIC INSTITUTE YA MAREKANI

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Abdulrahman Kinana, leo Agosti 24, 2023, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa  taasisi ya Marekani ya NDI inayojishughulisha na masuala ya demokrasia, Balozi Derek Mitchel, katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba, Dar es Salaam.  Balozi Mitchel ameipongeza serikali ya CCM kwa hatua nzuri iliyopigwa […]

Read More
 TARURA KUONDOA VIKWANZO MTANDAO WA BARABARA ZA WILAYA

TARURA KUONDOA VIKWANZO MTANDAO WA BARABARA ZA WILAYA

Wakala wa barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) umesema maeneo ya kipaumbele kwa mwaka wa fedha 2023/24 ni Kuondoa vikwazo kwenye mtandao wa barabara za Wilaya ili angalau ziweze kupitika misimu yote. Hayo yamesemwa na mtendaji Mkuu wa TARURA Mhandisi Victor Seff Agosti 24,2023 Jijini Dodoma wakati akitoa taarifa ya utekelezaji wa majukumu na mwelekeo […]

Read More
 MSALATO SATELLITE CITY KUWA MJI WA MFANO

MSALATO SATELLITE CITY KUWA MJI WA MFANO

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Angeline Mabula akizungumza wakati wa uwasilishaji taarifa za wizara yake mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii jijini Dodoma tarehe 24 Agosti 2023. Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amesema mradi wa Kupanga na Kupima […]

Read More
 MPANGO KABAMBE WA MAZINGIRA UMEZINGATIA SEKTA MUHIMU

MPANGO KABAMBE WA MAZINGIRA UMEZINGATIA SEKTA MUHIMU

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira wakiwa katikakikao cha kuwasilisha na kupokea Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kabambewa Taifa wa Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (2022-2032) kwa Kamati yaKudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira iliyowasilishwa na Ofisi ya Makamu waRais jijini Dodoma tarehe 23 Agosti, 2023. Serikali imesema Mpango […]

Read More
 SERIKALI YAFANYIA UTAFITI MBADALA WA ZEBAKI KWA WACHIMBAJI WADOGO

SERIKALI YAFANYIA UTAFITI MBADALA WA ZEBAKI KWA WACHIMBAJI WADOGO

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. KhamisHamza Khamis amesema Serikali imefanya utafiti kuhusu teknolojia mbadalawa zebaki kwa wachimbaji wadogo wa dhahabu nchini.Amesema hayo wakati akiwasilisha taarifa ya hatua zilizofikiwa juu ya uratibuna utekelezaji wa Mpango-kazi wa Taifa wa Kupunguza Matumizi ya Zebaki(2020 – 2025) kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge […]

Read More
 ZAIDI YA WANANCHI 70000 WAFIKIWA NA HUDUMA YA TIBA MKOBA

ZAIDI YA WANANCHI 70000 WAFIKIWA NA HUDUMA YA TIBA MKOBA

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. PeterKisenge akimpima kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi(Echocardiograph – ECHO) mkazi wa Kilimanjaro aliyefika katika Hospitali ya Rufaaya Mkoa Mawenzi (MRRH) kwaajili ya kupima moyo wakati wa kambi maalum yaupimaji na matibabu ya moyo inayofanywa na wataalamu wa afya wa JKCI kwakushirikiana na wenzao […]

Read More