SERIKALI YAONGEZA KASI KUIMARISHA HUDUMA YA MAJI DODOMA

SERIKALI YAONGEZA KASI KUIMARISHA HUDUMA YA MAJI DODOMA

Mafundi kutoka kampuni ya Mkandarasi Help Desk, wakifunga tenki la chuma la kukusanyia maji lenye ukubwa wa lita laki tano katika eneo la Nzuguni jijini Dodoma leo Agosti 17, 2023. Kupitia mradi wa maji wa Nzuguni zaidi ya lita za maji milioni 7.6 zitazalishwa kwa siku, hivyo kuongeza asilimia 11 za upatikanaji maji katika Jiji […]

Read More
 RAIS SAMIA AWATAKA MABALOZI KUTAFUTA FURSA

RAIS SAMIA AWATAKA MABALOZI KUTAFUTA FURSA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwana Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa AfrikaMashariki Mhe. Dkt. Stergomena Tax, Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Dkt. Moses Kusiluka, Kamishna wa Maadili Jaji Mhe. Sivangilwa Mwangesi kwenye picha ya kumbukumbu na Mabalozi Wateule aliowaapisha kwenye hafla […]

Read More
 DKT. NCHEMBA AKUTANA NA UONGOZI WA KAMPUNI YA SINOSURE

DKT. NCHEMBA AKUTANA NA UONGOZI WA KAMPUNI YA SINOSURE

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) akimkabidhi zawadi inayotangaza bidhaa za Tanzania ikiwemo kahawa, korosho na mvinyo, Mwenyekiti wa Taasisi ya Bima-SINOSURE ya China, Mhe. Song Shughuan, wakati wa Ziara ya kikazi ya Ujumbe wa Tanzania, Makao Makuu ya Taasisi hiyo mjini Beijing, ambapo Tanzania na Taasisi hiyo zimeingia makubaliano yatakayoiwezesha Tanzania kunufaika […]

Read More