KISHINDO CHA RAIS SAMIA , NI NEEMA RUKWA.
•Aridhia kuanzia msimu ujao wa Kilimo kuwe na ruzuku ya bei ya mbegu za mahindi. •Aridhia Serikali kununua mahindi ya wakulima kwa shilingi 700/Kg •Seminari ya Kahengesa yapata barabara ya lami ikiwa ni heshima kwa mwadhama Protase Rugambwa na viongozi wengine waliowahi kupita katika seminari hiyo maarufu. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. […]
Read More