WAZIRI MKUU AZINDUA HOSPITALI YA RUFAA YA TOSAMAGANGA
*Azipongeza taasisi za dini kwa kuendelea kutoa huduma za kijamii WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezipongeza taasisi za dini likiwemo Kanisa Katoliki kwa kuendelea kushirikiana na Serikali katika kutoa huduma mbalimbali za kijamii kwa wananchi. Amesema kuwa kitendo cha Kanisa Katoliki cha kuamua kuipandisha hadhi Hospitali ya Tosamaganga na kuwa Hospitali ya Rufaa kwa ngazi ya […]
Read More