KKKT KUSHIRIKIANA NA TRA KUTOA ELIMU YA KODI

KKKT KUSHIRIKIANA NA TRA KUTOA ELIMU YA KODI

Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) linatarajia kuanza kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutoa elimu ya Kodi makanisani ili kuongeza idadi ya walipakodi Kodi kwa hiari na kuleta usawa katika ulipaji wa Kodi. Hayo yamebainishwa katika kikao cha pamoja baina ya Askofu Mkuu wa KKKT Dk. Alex Malasusa na Kamishna Mkuu wa […]

Read More
 IMAMU WA MECCA KUTUA DAR NI KWENYE MASHINDANO YA KURANI TUKUFU

IMAMU WA MECCA KUTUA DAR NI KWENYE MASHINDANO YA KURANI TUKUFU

*Rais Samia aalikwa kuwa mgeni raffia*Saudia yatoa ofa ya kwenda kuhiji Na Mwandishi Wetu IMAMU wa mojawapo ya misikiti mitakatifu ya Kiislamu huko Mecca na Medina, anatarajiwa kuja nchini kushuhudia mashindano ya kimataifa ya Kurani Tukufu yaliyopangwa kufanyika Februari 23 mwaka huu. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Tuzo ya Kimataifa Quran Tukufu Tanzania, […]

Read More
 TANZANIA NA COMORO KUSHIRIKIANA SEKTA YA NISHATI

TANZANIA NA COMORO KUSHIRIKIANA SEKTA YA NISHATI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Dkt. Doto Mashaka Biteko amekutana na Waziri wa Nishati wa Umoja wa Visiwa vya Comoros, Dkt Aboubacar Anli na kukubaliana maeneo kadhaa ya ushirikiano katika Sekta ya Nishati. Awali, Waziri wa Nishati wa Comoros alieleza umuhimu wa ushirikiano kwenye sekta hiyo baina ya Comoro na Tanzania hususan […]

Read More
 TANZANIA YAAHIDI KUENDELEZA USHIRIANO NA BURUNDI SEKTA YA NISHATI

TANZANIA YAAHIDI KUENDELEZA USHIRIANO NA BURUNDI SEKTA YA NISHATI

📌Burundi yaipongeza Tanzania kwa mafanikio ya nishati 📌Wampongeza Rais Samia kudumisha amani nchini Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Serikali imeahidi kuendelea kushirikiana na nchi ya Burundi katika nyanja mbalimbali za maendeleo ikiwemo sekta ya nishati. Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko katika […]

Read More
 WAZIRI MKUU ASISITIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI KWA WATANZANIA WOTE

WAZIRI MKUU ASISITIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI KWA WATANZANIA WOTE

▪Awataka Wana-CCM kujiandaa na Uchaguzi Mkuu▪Asema Wana-CCM wanaowajibu wa kueleza kwa watanzania utekelezaji wa Ilani WAZIRI MKUU, amewasisitiza Watanzania wote kushirikiana na Serikali kuweka mkazo kwenye matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa kubadili utaratibu za kupika chakula ili kuachana na matumizi ya kuni na mkaa. “Mwenyekiti wetu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Mheshimiwa […]

Read More
 WASIRA: UAMUZI WA MKUTANO MKUU UMEZINGATIA KATIBA YA CCM

WASIRA: UAMUZI WA MKUTANO MKUU UMEZINGATIA KATIBA YA CCM

Awapa darasa wanaodai sababu ya CCM kupitisha wagombea Urais MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mainduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema uamuzi wa Mkutano Mkuu Maalum wa CCM, uliomchagua Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kugombea kiti cha Urais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, umezingatia takwa la kikatiba na mamlaka ya Mkutano Mkuu. […]

Read More
 RAIS WA BENKI YA DUNIA AWASILI NCHINI

RAIS WA BENKI YA DUNIA AWASILI NCHINI

Rais wa Benki ya Dunia (WBG), Bw. Ajay Banga amewasili nchini kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati ujulikanao kama “Mission 300”, utakaofanyika tarehe 27 hadi 28 Januari 2025 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam. Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius […]

Read More
 MAJALIWA AFUNGUKA, MSIWAFICHE WATOTO WALEMAVU, HAKI ZAO ZILINDWE KWA WIVU MKUBWA

MAJALIWA AFUNGUKA, MSIWAFICHE WATOTO WALEMAVU, HAKI ZAO ZILINDWE KWA WIVU MKUBWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa, amewataka wazazi na walezi wasiwafiche watoto wenye ulemavu na wahakikishe wanafahamika mahali walipo, hali zao za ulemavu ili waweze kupata huduma stahiki na washiriki kikamilifu katika maendeleo ya Taifa. Mheshimiwa Majaliwa ameyasema hayo leo (Jumamosi, Januari 25, 2025), wakati akizindua Kanzidata na Mfumo wa Taarifa za Watu Wenye Ulemavu unaotokana na […]

Read More