KIGAMBONI WAPATA ‘TEKSI ZA BAHARINI’ ULEGA ASEMA NI MATUNDA YA UBUNIFU WA RAIS SAMIA
Baada ya miaka mingi ya usumbufu wa usafiri wa kwenda Kigamboni, serikali na kampuni ya Azam Marine zimetangaza ujio mpya wa vivuko utakaopunguza kwa kiasi kikubwa adha ya usafiri kuelekea eneo hilo. Akizungumza katika uzinduzi wa vivuko hivyo, Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema vivuko vilivyozinduliwa siku ya Jumatano tarehe 22 Januari 2025, vitaungana na […]
Read More