TAKUKURU KUSHIRIKIANA NA TRA KATIKA UKUSANYAJI KODI
Na Mwandishi Wetu, DarMkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Bw. Crispin Francis Chalamila leo tarehe 14/01/2025 amesema Taasisi hiyo itaendelea kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) katika kuhakikisha Kodi ya Serikali inakusanywa kikamilifu. Akiwa katika mazungumzo na Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Yusuph Juma Mwenda alipomtembelea ofisini kwake Jijini […]
Read More