“MSIWAONEE HURUMA WANAOKWEPA KODI” DK. MWIGULU NCHEMBA

“MSIWAONEE HURUMA WANAOKWEPA KODI” DK. MWIGULU NCHEMBA

Na Mwandishi Wetu, Arusha Waziri wa Fedha Mhe. Dk. Mwigulu Nchemba ameitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutowaonea huruma watu wanaokwepa Kodi bila kujali ukubwa au umaarufu wao. Akifungua kikao cha nusu mwaka cha kutathmini utendaji kazi wa TRA kwa mwaka wa fedha 2024/2025 Jijini Arusha leo tarehe 06.01.2025 Waziri wa Fedha Dk. Nchemba amesema […]

Read More
 DKT. BITEKO AKAGUA UJENZI WA OFISI YA WAZIRI MKUU NA JENGO LA WIZARA YA NISHATI DODOMA

DKT. BITEKO AKAGUA UJENZI WA OFISI YA WAZIRI MKUU NA JENGO LA WIZARA YA NISHATI DODOMA

📌 Aagiza ujenzi ukamilishwe haraka 📌 Majengo yakamilika kwa asilimia 88 📌 Wakandarasi waomba nyongeza siku 90 Na Mwandishi Wetu, Dodoma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amefanya ziara katika Mji wa Serikali, Mtumba jijini Dodoma kukagua maendeleo ya ujenzi majengo ya Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu […]

Read More
 MATOKEO KIDATO CHA PILI, DARASA LA NNE KWA MWAKA 2024 HAYA HAPA

MATOKEO KIDATO CHA PILI, DARASA LA NNE KWA MWAKA 2024 HAYA HAPA

Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya upimaji wa kitaifa wa darasa la nne na kidato cha pili, takwimu zikionyesha kwa darasa la nne wasichana wamefanya vizuri zaidi ukilinganisha na wavulana wakati kwa kidato cha pili wavulana wameongoza DARASA LA NNE https://matokeo.necta.go.tz/results/2024/sfna/sfna.htm KIDATO CHA PILI https://matokeo.necta.go.tz/results/2024/ftna/ftna.htm

Read More
 DKT. BITEKO AHIMIZA UPENDO, KUVUMILIANA KATIKA KULETA MAENDELEO NCHINI

DKT. BITEKO AHIMIZA UPENDO, KUVUMILIANA KATIKA KULETA MAENDELEO NCHINI

📌Asema Rais Samia anaendelea kuweka Historia Nchini 📌Asema Rais amenuia kupunguza changamoto za Watanzania Na Mwandishi Wetu. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Dkt. Doto Biteko amewahimiza Watanzania kuendeleza upendo mshikamano na kuvumiliana zikiwa nyenzo muhimu za kufikia maendeleo na ustawi wa Taifa. Dkt. Biteko […]

Read More
 TRA KUSHIRIKIANA NA BAKWATA KUTOA ELIMU YA KODI

TRA KUSHIRIKIANA NA BAKWATA KUTOA ELIMU YA KODI

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inatarajia kushirikiana na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) kutoa Elimu ya Kodi ili kuhamasisha Wananchi kulipa kodi kwa hiari. Hayo yamebainishwa wakati wa mazungumzo baina ya Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Yusuph Juma Mwenda alipomtembelea na kufanya mazungumzo na Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Dr. Sheikh Abubakar Ali […]

Read More