MCHOME KUUNGURUMA ARUSHA, APANIA KUWEKA KILA KITU HADHARANI
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Jimbo la Mwanga, mkoani Kilimanjaro, Lembrus Mchome, anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari leo saa 5 asubuhi, jijini Arusha. Pamoja na mambo mengine, mkutano huo utatoa picha ya kinachoendelea katika chama chake, ukiwepo mpango wa kufukuzwa na viongozi wa juu wa chama hicho kwa kile kilichoelezwa kuwa […]
Read More