MCHOME KUUNGURUMA ARUSHA, APANIA KUWEKA KILA KITU HADHARANI

MCHOME KUUNGURUMA ARUSHA, APANIA KUWEKA KILA KITU HADHARANI

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Jimbo la Mwanga, mkoani Kilimanjaro, Lembrus Mchome, anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari leo saa 5 asubuhi, jijini Arusha. Pamoja na mambo mengine, mkutano huo utatoa picha ya kinachoendelea katika chama chake, ukiwepo mpango wa kufukuzwa na viongozi wa juu wa chama hicho kwa kile kilichoelezwa kuwa […]

Read More
 KILIO CHA BARABARA YA SONI-BUMBULI-KOROGWE CHAFIKA MWISHO, RAIS SAMIA ATANGAZA RASMI KUANZA KWA UJENZI

KILIO CHA BARABARA YA SONI-BUMBULI-KOROGWE CHAFIKA MWISHO, RAIS SAMIA ATANGAZA RASMI KUANZA KWA UJENZI

Serikali limetangaza imetangaza kuanza kwa ujenzi wa barabara ya Soni – Bumbuli – Korogwe kwa kiwango cha lami. Ujenzi huo utaanza rasmi baada ya kufunguliwa kwa zabuni ya mkandarasi mnamo Machi 6, 2025, ambapo awamu ya kwanza itahusisha kilomita 20 kutoka Soni hadi Bumbuli, hatua inayotajwa kuwa ni sehemu ya juhudi za kuboresha miundombinu na […]

Read More
 RAIS SAMIA AZINDUA JENGO LA HALMASHAURI BUMBULI: “JENGO HILI NI LA WANANCHI, HUDUMA ZOTE ZITAPATIKANA HAPA”

RAIS SAMIA AZINDUA JENGO LA HALMASHAURI BUMBULI: “JENGO HILI NI LA WANANCHI, HUDUMA ZOTE ZITAPATIKANA HAPA”

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Jumatatu, Februari 24, 2025, amezindua jengo jipya la Halmashauri ya Bumbuli, mkoani Tanga, akisisitiza umuhimu wa miradi ya maendeleo kwa wananchi. Mara baada ya kuzindua jengo hilo, Rais Samia ameeleza furaha yake kwa kupokelewa vizuri na wananchi wa Bumbuli wakiongozwa na Mbunge […]

Read More
 RAIS SAMIA KUENDELEA NA ZIARA YAKE MKOANI TANGA LEO

RAIS SAMIA KUENDELEA NA ZIARA YAKE MKOANI TANGA LEO

Muda mfupi ujao, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. @SuluhuSamia , ataendelea na ziara yake mkoani Tanga kwa siku ya pili, akitekeleza mikakati ya kuimarisha maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Katika muendelezo wa ziara hiyo, Rais Samia anatarajiwa kufungua rasmi Jengo la Halmashauri ya Bumbuli, hatua inayolenga kuboresha utoaji wa huduma za […]

Read More
 “MSAADA WA KISHERIA NI HITAJI LA MUHIMU KWA WANANCHI WANYONGE TUKATEKELEZE KWA WELEDI” KATIBU MKUU MASWI

“MSAADA WA KISHERIA NI HITAJI LA MUHIMU KWA WANANCHI WANYONGE TUKATEKELEZE KWA WELEDI” KATIBU MKUU MASWI

WATAALAM wa Utekelezaji wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria inayojulikana kama” Mama Samia Legal Aid” Mkoani Mbeya wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa weledi ili kuwasaidia Wananchi kutatua migogoro yao na kupata Haki zao kwa wakati. Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Ndg. Eliakim Maswi ametoa wito huo wakati akifungua mafunzo kwa Wataalam hao yaliyolenga […]

Read More
 SIKU MBILI ZA MAMA SAMIA LEGAL AID WILAYA YA MTAMA YATATUA MIGOGORO 27 KATI YA 32

SIKU MBILI ZA MAMA SAMIA LEGAL AID WILAYA YA MTAMA YATATUA MIGOGORO 27 KATI YA 32

Akizungumza na Wananchi wa Mnolela Ijumaa Februari 21,2025 Mratibu wa Kampeni ya Msaada ya Kisheria ya Mama Samia Wakili  Rockus  Komba amesema kuwa wamefanya mikutano katika vijiji sita na kuweza kutatua migogoro  ikiwemo migogoro ya Ardhi pamoja na familia. Amesema kuwa, Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia inasaidia sana kwa Wananchi ambao hawawezi […]

Read More
 MIKAKATI YA KUMFUKUZA UANACHAMA KADA WA CHADEMA MCHOME YAPANGIKA

MIKAKATI YA KUMFUKUZA UANACHAMA KADA WA CHADEMA MCHOME YAPANGIKA

Habari zilizotufiki hivi punde zinaeleza kuwa Vigogo wajuu wa Chadema akiwemo Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu na katibu mkuu, John Mnyika wamepanga kumfukuza uanachama Lembrus Mchome, kada aliyehoji uteuzi wa viongozi wa sekretarieti na wajumbe wa kamati kuu. Pia, vigogo hao akiwemo Godbless Lema wamedhamiria kumfukuza uanachama kada huyu maarufu na kumvua wadhifa wake […]

Read More
 WAZIRI AWESO AWAFAGILIA DAWASA, ABARIKI MASHIRIKIANO YAO NA WENYEVITI WA SERIKALI ZA MITAA

WAZIRI AWESO AWAFAGILIA DAWASA, ABARIKI MASHIRIKIANO YAO NA WENYEVITI WA SERIKALI ZA MITAA

Waziri wa Maji Jumaa Aweso ameishukuru Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar Es Salaam (DAWASA) kwa kuweza kukutana na Wenyeviti wa Serikali za mitaa kwani anaamini kuwa mashirikiaono hayo yatasaidia kuboresha huduma hiyo kwani watakuwa mabalozi wao kila mahali inapopatikana huduma hiyo. Waziri Aweso ameyasema haya leo february 18, 2025 katika kikao kazi […]

Read More