MBUNGE GAMBO AITAKA SERIKALI KUTOA MAJIBU YA UJENZI WA STENDI YA JIJI LA ARUSHA

MBUNGE GAMBO AITAKA SERIKALI KUTOA MAJIBU YA UJENZI WA STENDI YA JIJI LA ARUSHA

Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo, amehoji serikali kuhusu ucheleweshaji wa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa stendi ya kisasa ya Jiji la Arusha, akitaka ufafanuzi juu ya sababu za kuchelewa kumpata mkandarasi licha ya ahadi zilizotolewa mara kadhaa bungeni. Akizungumza Jumanne, Februari 11, 2025, bungeni jijini Dodoma, Gambo amesema kuwa ameuliza swali […]

Read More
 SAMIA TEACHERS MOBILE CLINIC YAPAMBA MOTO YAKUTANA NA WALIMU

SAMIA TEACHERS MOBILE CLINIC YAPAMBA MOTO YAKUTANA NA WALIMU

Na. Mwandishi wetu, TASNIA YA Walimu wana jukumu kubwa katika jamii kwa kuhakikisha kuwa watoto wanapata elimu bora, malezi, na ujuzi muhimu kwa maisha yao ya baadaye. Kazi yao ni nguzo muhimu katika kujenga kizazi kilichoelimika na jamii yenye maendeleo. Hata hivyo, walimu wanakutana na changamoto nyingi zinazohusiana na mazingira ya kazi, maisha ya kijamii, […]

Read More
 WASIRA AFUNGUKA :CCM TUTASHIKA DOLA KWA KURA ,SI BUNDUKI

WASIRA AFUNGUKA :CCM TUTASHIKA DOLA KWA KURA ,SI BUNDUKI

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Tanzania Bara Stephen Wasira amesema katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu Chama kitaendelea kushika dola kwa wingi wa kura na si mtutu wa bunduki. Pia, amesema CCM imebeba maono na fikra za ukombozi na kwamba itaendelea kuwa wakili wa kuwatetea Watanzania. Wasira aliyasema hayo leo Februari 10, 2025 alipokuwa […]

Read More
 ULEGA ATANGAZA NEEMA YA RAIS SAMIA KWA WAKANDARASI

ULEGA ATANGAZA NEEMA YA RAIS SAMIA KWA WAKANDARASI

· Walipwa zaidi ya bilioni 254 ndani ya siku 60 · Lengo ni kumalizia miradi ya barabara, madaraj Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema serikali imelipa takribani Sh bilioni 254 ndani ya miezi miwili kwa wakandarasi mbalimbali wanaotekeleza miradi ya barabara na madaraja nchini baada ya maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan. Ulega ameyasema hayo […]

Read More
 CG MWENDA APITA MLANGO KWA MLANGO KUZUNGUMZA NA WALIPAKODI IGUNGA

CG MWENDA APITA MLANGO KWA MLANGO KUZUNGUMZA NA WALIPAKODI IGUNGA

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda akiwa ziarani wilayani Igunga mkoani Tabora February 06 mwaka huu amepita mlango kwa mlango kwa Wafanyabiashara kwa lengo la kuwashukuru, kuwasikiliza na kutatua changamoto zinazowakabili. Kamishna Mkuu Mwenda akiambatana na Uongozi wa TRA alifika katika baadhi ya maduka na kutoa shukurani pamoja na […]

Read More
 WALIPAKODI MKOANI TABORA WAAHIDI USHIRIKIANO NA TRA

WALIPAKODI MKOANI TABORA WAAHIDI USHIRIKIANO NA TRA

Walipakodi mkoani Tabora wameahidi kuendelea kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kulipa Kodi kwa hiari na kuwafichua Wafanyabiashara wanaokwepa Kodi. Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika mkutano baina yao na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda Wafanyabiashara hao wamesema wanajivunia kulipa Kodi kutokana na maendeleo makubwa yanayofanywa na […]

Read More
 “TUTAENDELEA KUSIMAMIA USTAWI WA BIASHARA NCHINI” CG MWENDA

“TUTAENDELEA KUSIMAMIA USTAWI WA BIASHARA NCHINI” CG MWENDA

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda amesema TRA itaendelea kusimamia ustawi wa biashara nchini kwa kuhakikisha kuwa hakuna biashara inayokufa ili uchumi wa nchi uendelee kuimarika. Akizungumza na Wafanyabiashara mkoani Singida Februari 05.2025 Kamishna Mkuu wa TRA amesema miongoni mwa majukumu ya TRA ni kuwezesha ukuaji wa biashara na […]

Read More