WACHINA WAIANGUKIA SERIKALI, WAOMBA KUONGEZEWA MUDA WAZIRI ULEGA AKUTANA NA VIGOGO WAO USO KWA USO
• Waitikia wito wake kutoa maelezo• Watoa sababu miradi kuchelewa• Serikali yatafakari maombi ya Na Mwandishi Wetu HATIMAYE Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amekutana na viongozi wakuu wa kampuni kutoka China zinazosimamia miradi ya ujenzi wa miundombinu ya mabasi yaendayo haraka (BRT), madaraja pamoja na barabara hapa nchini kwa lengo la kutafuta suluhisho la miradi […]
Read More