WACHINA WAIANGUKIA SERIKALI, WAOMBA KUONGEZEWA MUDA WAZIRI ULEGA AKUTANA NA VIGOGO WAO USO KWA USO

WACHINA WAIANGUKIA SERIKALI, WAOMBA KUONGEZEWA MUDA WAZIRI ULEGA AKUTANA NA VIGOGO WAO USO KWA USO

• Waitikia wito wake kutoa maelezo• Watoa sababu miradi kuchelewa• Serikali yatafakari maombi ya Na Mwandishi Wetu HATIMAYE Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amekutana na viongozi wakuu wa kampuni kutoka China zinazosimamia miradi ya ujenzi wa miundombinu ya mabasi yaendayo haraka (BRT), madaraja pamoja na barabara hapa nchini kwa lengo la kutafuta suluhisho la miradi […]

Read More
 WAFANYABIASHARA TUENDELEE KUWA NA IMANI NA RAIS SAMIA -MAJALIWA

WAFANYABIASHARA TUENDELEE KUWA NA IMANI NA RAIS SAMIA -MAJALIWA

▪Ampongeza Kamishna TRA kwa kusimamia Weledi patika ukusanyaji wa kodi ▪Atembelea kiwanda cha uchakataji mazao ya parachichi WAZIRI MKUU,  Kassim Majaliwa amezitaka jumuiya za wafanyabiashara nchini kuendelea kuwa na imani na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwani amedhamiria kutatua changamoto zinazohusu masuala ya kodi. Amesema Rais Dkt. Samia anajali changamoto za wafanyabiashara na ndio maana […]

Read More
 TOENI MAFUNZO YANAYOZINGATIA SOKO LA AJIRA-MAJALIWA

TOENI MAFUNZO YANAYOZINGATIA SOKO LA AJIRA-MAJALIWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wadau wa elimu na mafunzo ya ufundi stadi nchini watoe mafunzo yanayozingatia mahitaji halisi ya soko la ajira. “Mahitaji ya soko la ajira tutayajua kwa kufanya tafiti za mara kwa mara kwa ushirikiano kati ya Serikali, sekta binafsi, na mashirika ya kimataifa.” Ametoa wito huo leo (Jumanne, Machi […]

Read More
 WAZIRI MKUU AZINDUA MSIKITI WA NUURIL HIKMA.

WAZIRI MKUU AZINDUA MSIKITI WA NUURIL HIKMA.

▪Awataka waumini kuutunza msikiti huo▪Atoa wito kwa viongozi wa dini kuliombea Taifa na kukemea maovu WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Machi 14, 2025 amezindua msikiti wa Masjid Jaami’u Nuuril Hikma uliopo mtaa wa Yombo, Temeke jijini Dar es Salaam ambao umejengwa na Taasisi ya Al-Hikma. Akizungumza baada ya kuzindua msikiti huo, Mheshimiwa Majaliwa ametoa wito kwa […]

Read More