MABALOZI KUTANGAZA UTALII WA TANZANIA KIMATAIFA

MABALOZI KUTANGAZA UTALII WA TANZANIA KIMATAIFA

📌Ziara ya utalii ya Mabalozi kuchochea ushirikiano wa Tanzania na mataifa mengine Na Mwandishi Wtu Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameipongeza Wizara ya Maliasili na Utalii pamoja na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa kuandaa ziara ya Mabalozi ya kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo […]

Read More
 BILIONI 100 KUKARABATI MADARAJA BARABARA YA KUSINI

BILIONI 100 KUKARABATI MADARAJA BARABARA YA KUSINI

Makalla apongeza utendaji wa Ulega, TANROADSAtaka ubora uzingatiwe kwenye ujenziAtaka Ulega azidi kuwa mkali kwa wazembe Na Mwandishi Wetu KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi and Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla amesema serikali imetenga kiasi cha zaidi ya shilingi bilioni 100 kwa ajili ya ujenzi wa madaraja matano kwenye maeneo […]

Read More
 USAFIRI WAANZA KUREJEA SOMANGA, ABIRIA WASHUKURU

USAFIRI WAANZA KUREJEA SOMANGA, ABIRIA WASHUKURU

Na Mwandishi Wetu USAFIRI umerejea kwa hatua katika barabara iendayo mikoa ya Kusini tangu leo alfajiri baada ya wataalamu wa Wakala wa Barabara (TANROADS) kufanya kazi usiku na mchana kurekebisha eneo la Somanga Matandu lililoharibiwa na mvua na kufanya njia isipitike. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ambaye ameweka kambi katika eneo hilo tangu jana, amewaambia […]

Read More
 ULEGA AGEUKA MBOGO AAGIZA BARABARA KUSINI IPITIKE HARAKA

ULEGA AGEUKA MBOGO AAGIZA BARABARA KUSINI IPITIKE HARAKA

Waziri wa Ujenzi nchini Tanzania Abdallah Ulega ametoa maagizo kwa wataalamu mbalimbali wa ujenzi wa Wakala wa barabara nchini (Tanroads) kuhakikisha wanafanya kazi usiku kucha ili huduma za usafiri zirejee haraka katika eneo la Somanga- Mtama. Katika hatua nyingine, serikali pia imeahidi kusaidia abiria ambao wamekwama njiani katika barabara hiyo baada ya mvua kubwa za […]

Read More
 JANUARI HADI MACHI 2025 TRA YAKUSANYA SH7.53 TRILIONI

JANUARI HADI MACHI 2025 TRA YAKUSANYA SH7.53 TRILIONI

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imefanikiwa kukusanya Sh. Trilioni 7.53 katika kipindi cha robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2024/25, sawa na ufanisi wa asilimia 101.32 ya lengo la kukusanya Shilingi Trilioni 7.43. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Yusuph Juma Mwenda imeeleza kuwa ufanisi wa makusanyo ya Robo […]

Read More
 MAKADA 55 CHADEMA WATOA WARAKA MZITO KUPINGA KUZUIA UCHAGUZI MKUU

MAKADA 55 CHADEMA WATOA WARAKA MZITO KUPINGA KUZUIA UCHAGUZI MKUU

MSIMAMO wa Tundu Lissu, Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), umezidi kupingwa vikali baada ya makada wake ambao pia ni watia nia wa Ubunge kujitokeza hadharani kuupinga, wakisema unaenda kukiweka pabaya chama chao. Wanachama hao wakiongozwa na Jonh Mrema, Catherine Ruge, Julius Mwita, Susan Kiwanga, Grace Sindato Kiwelu, Daniel Naftari Ngogo, Henry Kilewo […]

Read More
 CHADEMA WASILAZIMISHWE, UCHAGUZI LAZIMA UFANYIKE, UPO KWA MUJIBU WA KATIBA –DKT. NCHIMBI

CHADEMA WASILAZIMISHWE, UCHAGUZI LAZIMA UFANYIKE, UPO KWA MUJIBU WA KATIBA –DKT. NCHIMBI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amesema kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 utafanyika kama ilivyoelekezwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akisisitiza kuwa hakuna mtu binafsi, chama au mamlaka yoyote, hata ya juu serikalini, inayoweza kuzuia kufanyika kwake. Akizungumza katika Mkutano Mkuu Maalum wa Jukwaa la […]

Read More
 PPPC YATOA MAFUNZO YA UIBUAJI WA MIRADI YA PPP GEITA

PPPC YATOA MAFUNZO YA UIBUAJI WA MIRADI YA PPP GEITA

Kituo cha Ubia baina ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC) kimetoa mafunzo ya uibuaji wa miradi inayoweza kutekelezwa kwa utaratibu wa PPP kwa Viongozi wa Mkoa na Halmashauri ya Manispaa ya Geita. Mafunzo hayo, yaliyotolewa na wakufunzi Dr. Abiud Bongole na Christine Kaigarula yakilengaKuelewa dhana ya PPP, Kuibua miradi yenye sifa za kutekelezwa […]

Read More