WASIRA AFUNGUKA :CCM TUTASHIKA DOLA KWA KURA ,SI BUNDUKI
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Tanzania Bara Stephen Wasira amesema katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu Chama kitaendelea kushika dola kwa wingi wa kura na si mtutu wa bunduki. Pia, amesema CCM imebeba maono na fikra za ukombozi na kwamba itaendelea kuwa wakili wa kuwatetea Watanzania. Wasira aliyasema hayo leo Februari 10, 2025 alipokuwa […]
Read More