MAKAMU WA RAIS AKIFUNGUA MKUTANO WA ALAT
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango, ametoa wito kwa viongozi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuzingatia mipaka na majukumu yao katika utendaji wa kazi ili kuepusha migogoro na miingiliano isiyofaa katika kuwahudumia wananchi. Wito huo ulitolewa wakati Makamu wa Rais alipomwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika […]
Read More