HABARI PICHA; RAIS SAMIA AZINDUA MRADI WA MINARA YA KURUSHIA MATANGAZO YA TELEVISHENI ARDHINI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akibonyeza Kitufe kuashiria ufunguzi wa Mradi wa Minara ya kurusha matangazo ya Televisheni Ardhini (DTT) ya Kampuni ya Azam Media kwenye hafla iliyofanyika katika Makao Makuu ya Ofisi hizo zilizopo Barabara ya Mandela Jijini Dar es Salaam tarehe 18 Mei, 2023. Rais wa Jamhuri […]
Read More