IMAMU WA MECCA KUTUA DAR NI KWENYE MASHINDANO YA KURANI TUKUFU
*Rais Samia aalikwa kuwa mgeni raffia*Saudia yatoa ofa ya kwenda kuhiji Na Mwandishi Wetu IMAMU wa mojawapo ya misikiti mitakatifu ya Kiislamu huko Mecca na Medina, anatarajiwa kuja nchini kushuhudia mashindano ya kimataifa ya Kurani Tukufu yaliyopangwa kufanyika Februari 23 mwaka huu. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Tuzo ya Kimataifa Quran Tukufu Tanzania, […]
Read More