WATANZANIA KUNUFAIKA NA MASHINDANO YA CHAN 2025, AFCON 2027
📌 Mashindano yameipa heshima Tanzania kimataifa 📌 Rais Samia kinara wa Michezo nchini Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Watanzania watanufaika na fursa mbalimbali za kiuchumi na kijamii zitakazopatikana kuelekea katika mashindano wa CHAN 2025 na AFCON 2027. Hayo yamebainishwa leo Januari 15, 2025 na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa […]
Read More