CHADEMA WASILAZIMISHWE, UCHAGUZI LAZIMA UFANYIKE, UPO KWA MUJIBU WA KATIBA –DKT. NCHIMBI

CHADEMA WASILAZIMISHWE, UCHAGUZI LAZIMA UFANYIKE, UPO KWA MUJIBU WA KATIBA –DKT. NCHIMBI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amesema kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 utafanyika kama ilivyoelekezwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akisisitiza kuwa hakuna mtu binafsi, chama au mamlaka yoyote, hata ya juu serikalini, inayoweza kuzuia kufanyika kwake. Akizungumza katika Mkutano Mkuu Maalum wa Jukwaa la […]

Read More
 PPPC YATOA MAFUNZO YA UIBUAJI WA MIRADI YA PPP GEITA

PPPC YATOA MAFUNZO YA UIBUAJI WA MIRADI YA PPP GEITA

Kituo cha Ubia baina ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC) kimetoa mafunzo ya uibuaji wa miradi inayoweza kutekelezwa kwa utaratibu wa PPP kwa Viongozi wa Mkoa na Halmashauri ya Manispaa ya Geita. Mafunzo hayo, yaliyotolewa na wakufunzi Dr. Abiud Bongole na Christine Kaigarula yakilengaKuelewa dhana ya PPP, Kuibua miradi yenye sifa za kutekelezwa […]

Read More
 MATOKEO YA USAILI TRA KUTANGAZWA APRILI 25.2025

MATOKEO YA USAILI TRA KUTANGAZWA APRILI 25.2025

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa matokeo ya Usaili wa maandishi uliofanyika Machi 29 na 30 mwaka 2025 kwa watahiniwa walioomba nafasi za kazi TRA yatatangazwa Aprili 25 kupitia Tovuti ya TRA (www.tra.go.tz) baada ya kuwasilishwa na Mshauri elekezi NBAA Aprili 23, mwaka huu. Akizungumzia mchakato huo wa ajira za TRA leo tarehe 02.04.2025 […]

Read More
 MIKOA 26 KUOMBEA UCHAGUZI MKUU 2025, MSAMA AWAITA WADAU KUDHAMINI JAMBO HILO

MIKOA 26 KUOMBEA UCHAGUZI MKUU 2025, MSAMA AWAITA WADAU KUDHAMINI JAMBO HILO

Wadau mbalimbali na Watanzania wameobwa kujitokeza kwa wingi kudhamini Tamasha la kuombea Uchaguzi Mkuu litakalofanyika katika mikoa 26 nchini Akizungumza na waandishi wa Habari April 2, Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion , Alex Msama amesema tamasha hilo halitakuwa na kingilo ili kila mtanzania aweze kushiriki kwenye kuliombea taifa huku maandilizi yakiwa yanaendele vizuri. Msama […]

Read More
 WACHINA WAIANGUKIA SERIKALI, WAOMBA KUONGEZEWA MUDA WAZIRI ULEGA AKUTANA NA VIGOGO WAO USO KWA USO

WACHINA WAIANGUKIA SERIKALI, WAOMBA KUONGEZEWA MUDA WAZIRI ULEGA AKUTANA NA VIGOGO WAO USO KWA USO

• Waitikia wito wake kutoa maelezo• Watoa sababu miradi kuchelewa• Serikali yatafakari maombi ya Na Mwandishi Wetu HATIMAYE Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amekutana na viongozi wakuu wa kampuni kutoka China zinazosimamia miradi ya ujenzi wa miundombinu ya mabasi yaendayo haraka (BRT), madaraja pamoja na barabara hapa nchini kwa lengo la kutafuta suluhisho la miradi […]

Read More
 WAFANYABIASHARA TUENDELEE KUWA NA IMANI NA RAIS SAMIA -MAJALIWA

WAFANYABIASHARA TUENDELEE KUWA NA IMANI NA RAIS SAMIA -MAJALIWA

▪Ampongeza Kamishna TRA kwa kusimamia Weledi patika ukusanyaji wa kodi ▪Atembelea kiwanda cha uchakataji mazao ya parachichi WAZIRI MKUU,  Kassim Majaliwa amezitaka jumuiya za wafanyabiashara nchini kuendelea kuwa na imani na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwani amedhamiria kutatua changamoto zinazohusu masuala ya kodi. Amesema Rais Dkt. Samia anajali changamoto za wafanyabiashara na ndio maana […]

Read More
 TOENI MAFUNZO YANAYOZINGATIA SOKO LA AJIRA-MAJALIWA

TOENI MAFUNZO YANAYOZINGATIA SOKO LA AJIRA-MAJALIWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wadau wa elimu na mafunzo ya ufundi stadi nchini watoe mafunzo yanayozingatia mahitaji halisi ya soko la ajira. “Mahitaji ya soko la ajira tutayajua kwa kufanya tafiti za mara kwa mara kwa ushirikiano kati ya Serikali, sekta binafsi, na mashirika ya kimataifa.” Ametoa wito huo leo (Jumanne, Machi […]

Read More