JANUARI HADI MACHI 2025 TRA YAKUSANYA SH7.53 TRILIONI

JANUARI HADI MACHI 2025 TRA YAKUSANYA SH7.53 TRILIONI

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imefanikiwa kukusanya Sh. Trilioni 7.53 katika kipindi cha robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2024/25, sawa na ufanisi wa asilimia 101.32 ya lengo la kukusanya Shilingi Trilioni 7.43. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Yusuph Juma Mwenda imeeleza kuwa ufanisi wa makusanyo ya Robo […]

Read More
 MAKADA 55 CHADEMA WATOA WARAKA MZITO KUPINGA KUZUIA UCHAGUZI MKUU

MAKADA 55 CHADEMA WATOA WARAKA MZITO KUPINGA KUZUIA UCHAGUZI MKUU

MSIMAMO wa Tundu Lissu, Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), umezidi kupingwa vikali baada ya makada wake ambao pia ni watia nia wa Ubunge kujitokeza hadharani kuupinga, wakisema unaenda kukiweka pabaya chama chao. Wanachama hao wakiongozwa na Jonh Mrema, Catherine Ruge, Julius Mwita, Susan Kiwanga, Grace Sindato Kiwelu, Daniel Naftari Ngogo, Henry Kilewo […]

Read More
 CHADEMA WASILAZIMISHWE, UCHAGUZI LAZIMA UFANYIKE, UPO KWA MUJIBU WA KATIBA –DKT. NCHIMBI

CHADEMA WASILAZIMISHWE, UCHAGUZI LAZIMA UFANYIKE, UPO KWA MUJIBU WA KATIBA –DKT. NCHIMBI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amesema kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 utafanyika kama ilivyoelekezwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akisisitiza kuwa hakuna mtu binafsi, chama au mamlaka yoyote, hata ya juu serikalini, inayoweza kuzuia kufanyika kwake. Akizungumza katika Mkutano Mkuu Maalum wa Jukwaa la […]

Read More
 PPPC YATOA MAFUNZO YA UIBUAJI WA MIRADI YA PPP GEITA

PPPC YATOA MAFUNZO YA UIBUAJI WA MIRADI YA PPP GEITA

Kituo cha Ubia baina ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC) kimetoa mafunzo ya uibuaji wa miradi inayoweza kutekelezwa kwa utaratibu wa PPP kwa Viongozi wa Mkoa na Halmashauri ya Manispaa ya Geita. Mafunzo hayo, yaliyotolewa na wakufunzi Dr. Abiud Bongole na Christine Kaigarula yakilengaKuelewa dhana ya PPP, Kuibua miradi yenye sifa za kutekelezwa […]

Read More
 MATOKEO YA USAILI TRA KUTANGAZWA APRILI 25.2025

MATOKEO YA USAILI TRA KUTANGAZWA APRILI 25.2025

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa matokeo ya Usaili wa maandishi uliofanyika Machi 29 na 30 mwaka 2025 kwa watahiniwa walioomba nafasi za kazi TRA yatatangazwa Aprili 25 kupitia Tovuti ya TRA (www.tra.go.tz) baada ya kuwasilishwa na Mshauri elekezi NBAA Aprili 23, mwaka huu. Akizungumzia mchakato huo wa ajira za TRA leo tarehe 02.04.2025 […]

Read More
 MIKOA 26 KUOMBEA UCHAGUZI MKUU 2025, MSAMA AWAITA WADAU KUDHAMINI JAMBO HILO

MIKOA 26 KUOMBEA UCHAGUZI MKUU 2025, MSAMA AWAITA WADAU KUDHAMINI JAMBO HILO

Wadau mbalimbali na Watanzania wameobwa kujitokeza kwa wingi kudhamini Tamasha la kuombea Uchaguzi Mkuu litakalofanyika katika mikoa 26 nchini Akizungumza na waandishi wa Habari April 2, Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion , Alex Msama amesema tamasha hilo halitakuwa na kingilo ili kila mtanzania aweze kushiriki kwenye kuliombea taifa huku maandilizi yakiwa yanaendele vizuri. Msama […]

Read More
 WACHINA WAIANGUKIA SERIKALI, WAOMBA KUONGEZEWA MUDA WAZIRI ULEGA AKUTANA NA VIGOGO WAO USO KWA USO

WACHINA WAIANGUKIA SERIKALI, WAOMBA KUONGEZEWA MUDA WAZIRI ULEGA AKUTANA NA VIGOGO WAO USO KWA USO

• Waitikia wito wake kutoa maelezo• Watoa sababu miradi kuchelewa• Serikali yatafakari maombi ya Na Mwandishi Wetu HATIMAYE Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amekutana na viongozi wakuu wa kampuni kutoka China zinazosimamia miradi ya ujenzi wa miundombinu ya mabasi yaendayo haraka (BRT), madaraja pamoja na barabara hapa nchini kwa lengo la kutafuta suluhisho la miradi […]

Read More