WAFANYABIASHARA TUENDELEE KUWA NA IMANI NA RAIS SAMIA -MAJALIWA
▪Ampongeza Kamishna TRA kwa kusimamia Weledi patika ukusanyaji wa kodi ▪Atembelea kiwanda cha uchakataji mazao ya parachichi WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amezitaka jumuiya za wafanyabiashara nchini kuendelea kuwa na imani na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwani amedhamiria kutatua changamoto zinazohusu masuala ya kodi. Amesema Rais Dkt. Samia anajali changamoto za wafanyabiashara na ndio maana […]
Read More