WAZIRI MKUU AWABANA WATENDAJI IGUNGA UKOSEFU WA ZAHANATI
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ameitaka Halmashauri ya Wilaya ya Igunga kutenga Shilingi milioni 50 kutoka mapato yake ya ndani kwa ajili ya ujenzi wa zahanati katika kijiji cha Mwamayoka, akisisitiza kuwa wananchi hawapaswi kuendelea kuteseka kwa kukosa huduma za afya. Akizungumza mara baada ya kuweka jiwe la msingi la Mradi wa Upanuzi wa […]
Read More