WAZIRI MKUU AWABANA WATENDAJI IGUNGA UKOSEFU WA ZAHANATI

WAZIRI MKUU AWABANA WATENDAJI IGUNGA UKOSEFU WA ZAHANATI

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ameitaka Halmashauri ya Wilaya ya Igunga kutenga Shilingi milioni 50 kutoka mapato yake ya ndani kwa ajili ya ujenzi wa zahanati katika kijiji cha Mwamayoka, akisisitiza kuwa wananchi hawapaswi kuendelea kuteseka kwa kukosa huduma za afya. Akizungumza mara baada ya kuweka jiwe la msingi la Mradi wa Upanuzi wa […]

Read More
 WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI MAKOREMO-MGONGORO

WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI MAKOREMO-MGONGORO

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Machi 12, 2025 ameweka jiwe la msingi la Mradi wa Upanuzi wa Mtandao wa Majisafi ya Ziwa Victoria kutoka Makomero – Mgongoro, uliopo kijiji cha Mwamayoka, Igunga mkoani Tabora ambao umegharimu shilingi milioni 840.8 Akizungumza baada ya kuzindua mradi huo, ambao unatarajia kuhudumia wananchi 5,402, Mheshimiwa Majaliwa amesema kuwa Serikali […]

Read More
 TRA NA TFF WAINGIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO

TRA NA TFF WAINGIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeingia Makubaliano ya Ushirikiano na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwaajili ya kushirikiana kuhamasisha ulipaji Kodi wa hiari. Akizungumza baada ya kuingia Makubaliano hayo Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Yusuph Juma Mwenda amesema wameingia Makubaliano hayo ikiwa ni kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania […]

Read More