RAIS SAMIA AFUNGUA RASMI SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA TANGA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Jumanne Februari 25, 2025 amefungua rasmi shule ya sekondari ya Wasichana Tanga. Shule ya Sekondari ya Wasichana Tanga ni taasisi ya elimu iliyojengwa wilayani Kilindi, mkoani Tanga. Mradi huo ni sehemu ya juhudi za serikali ya awamu ya sita zenye lengo la […]
Read More