WARAIBU KUNUFAIKA NA MIKOPO 10%

WARAIBU KUNUFAIKA NA MIKOPO 10%

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Na Immaculate Makilika – MAELEZO Serikali imefikia uamuzi wake wa kuongeza kundi la waraibu wa dawa za kulevya katika wanufaika wa mikopo ya fedha zitokanazo na asilimia 10 ya mapato ya ndani ya halmashauri nchini ili waweze kufanya shughuli za kujitegemea. Hayo yamesemwa hivi […]

Read More
 GWAJIMA AIPONGEZA SERIKALI KUPELEKA MWENDOKASI KAWE

GWAJIMA AIPONGEZA SERIKALI KUPELEKA MWENDOKASI KAWE

NA GEORGE ALPHONCE – MWANA HABARI Mbunge wa Kawe, Dar es Salaam Askofu Josephat Gwajima ameipongeza Serikali kwa kupelekea huduma ya usafi wa haraka (Mwendokasi) katika jimbo lake ambapo utiaji saidi wa ujenzi wa barabara zake umefanyika leo Juni 30, 2023 na kutaja awamu ya kwanza ya mradi huo itakuwa ni ujenzi wa kipande cha […]

Read More
 HOTUBA YA NAIBU WAZIRI WA UJENZI NA UCHUKUZI MHA. GODFREY  KASEKENYA WAKATI WA UTIAJI SAINI MIKATABA MINNE YA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA  MABASI YA HARAKA (BRT) DAR ES SALAAM

HOTUBA YA NAIBU WAZIRI WA UJENZI NA UCHUKUZI MHA. GODFREY KASEKENYA WAKATI WA UTIAJI SAINI MIKATABA MINNE YA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA MABASI YA HARAKA (BRT) DAR ES SALAAM

Ndugu Viongozi na Wageni Waalikwa, Ndugu Viongozi na Wageni Waalikwa, Ndugu Viongozi na Wageni Waalikwa, Ndugu Viongozi na Wageni Waalikwa, Ndugu Viongozi na Wageni Waalikwa, Ndugu Viongozi na Wageni Waalikwa, Ndugu Viongozi na Wageni Waalikwa, Ndugu Viongozi na Wageni Waalikwa, ASANTENI KWA KUNISIKILIZA.

Read More
 MJADALA WA BANDARI USITUGAWE WATANZANIA

MJADALA WA BANDARI USITUGAWE WATANZANIA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema mjadala unaoendelea kuhusu uwekezaji kwenye bandari ya Dar es Salaam usiligawe Taifa kwa sababu Serikali ya awamu ya sita ni sikivu. “Mjadala unaoendelea kuhusu bandari ya Dar es Salaam usitugawe Watanzania. Usipelekee tukasambaratika. Tusitumie nafasi hiyo kutugawa kiitikadi, kidini au kisiasa. Sisi ni wamoja na jambo letu ni moja. Serikali […]

Read More
 BAKWATA IMEWAUNGANISHA WAISLAMU WOTE

BAKWATA IMEWAUNGANISHA WAISLAMU WOTE

Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Alhaj Nuhu Jabir Mruma amesema, kwa takribani miaka nane ya uongozi wa Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ally, BAKWATA imewaunganisha Waislamu wote nchini na kuwa kitu kimoja. Alhaj Mruma ameyasema hayo wakati akihutubia Baraza la Eid Al Adha lililofanyika kitaifa katika Msikiti wa Mohammed […]

Read More
 SNAPCHAT WAINGIZA BILIONI 38 KWA MWEZI

SNAPCHAT WAINGIZA BILIONI 38 KWA MWEZI

Kampuni ya mtandao wa kijamii SNAP INC inayomiliki application ya SNAPCHAT wametoa taariifa na kusema idadi ya wanaotumia huduma ya kulipia kwenye mtandao huo inayoitwa SNAPCHAT PLUS imefikia Millioni 4 tangu ilipozinduliwa June mwaka jana. Unaweza kujiuliza hii SnapchatPlus ni nini? sawa, ilivyo ni kama Snapchat ya kawaida lakini utofauti wake ni kwamba mtumiaji wake […]

Read More
 MADONA ARUHUSIWA KUTOKA HOSPITALI BAADA YA KUWA ICU

MADONA ARUHUSIWA KUTOKA HOSPITALI BAADA YA KUWA ICU

Mwanamuziki na Muigizaji maarufu wa Marekani, Madonna (64) ameruhusiwa kutoka hospitali baada ya kuwepo kwenye kitengo cha wagonjwa mahututi (ICU) kwa siku kadhaa. Jumamosi iliyopita msanii huyo alikimbizwa hospitali baada ya kukutwa akiwa hajitambui. Taarifa za kuugua kwake zilitolewa na Meneja wake wa muda mrefu Guy Oseary ambaye alithibitisha kuwa msanii huyo alipatwa na maambukizi […]

Read More
 NABI KUJIUNGA NA KLABU HII

NABI KUJIUNGA NA KLABU HII

Aliyekuwa Kocha wa Young Africans SC, Nasreddine Nabi anahusishwa kujiunga na Mabingwa wapya wa Ligi Kuu Morocco, klabu ya FAR Rabat kama kocha mkuu kuelekea msimu ujao wa 2023/24. Dili la Nabi la kuwa kocha mkuu wa Klabu ya Kaizer Chiefs limeota mbawa baada ya miamba hiyo ya Afrika Kusini kumtangaza Molefi Ntseki kama kocha […]

Read More
 UNITED KUMSAJILI MASON MOUNT

UNITED KUMSAJILI MASON MOUNT

Manchester United imefikia makubaliano ya kumsajili kiungo Mason Mount kwa ada ya uhamisho ya pauni milioni 60 kutoka Chelsea. United itatanguliza pauni milioni 55 huku pauni milioni 5 zikitarajiwa kulipwa kulingana na utendaji wa nyota huyo kwa kipindi chote cha mkataba wake Old Trafford. Mount (24) raia wa England anatarajiwa kusaini mkataba wa miaka mitano […]

Read More
 RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI HUU

RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI HUU

Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali. Amemteua Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani Mbarouk Salim Mbarouk kuwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi. Jaji Mstaafu Mbarouk ameteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti kwa kipindi cha pili. Balozi Omar Ramadhan […]

Read More