WATUMISHI USAFIRISHAJI BOHARI YA DAWA WAPEWA SOMO LA HUDUMA KWA WATEJA
Watumishi wa MSD wa kada ya Udereva, wamejengewa uwezo kupitia mafunzo mbalimbali yanayoandaliwa na taasisi hasa katika eneo la huduma kwa wateja wakati wa usambazaji bidhaa za afya. Mafunzo hayo yanayofanyika mkoani Morogoro yamekutanisha madereva wote wa MSD kutoka Makao Makuu na Kanda. Mkufunzi wa mafunzo hayo Kaimu Meneja wa Rasilimali watu Ndugu. Adolar Duwe, […]
Read More