RAIS SAMIA APOKEA GAWIO LA SERIKALI TSH. BIL. 45.5 KUTOKA BENKI YA NMB, KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 25 YA BENKI HIYO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea mfano wa Hundi ya Shilingi Bilioni 45.5 (Gawio la Serikali) kutoka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB Bi. Ruth Zaipuna kwenye maadhimisho ya miaka 25 ya Benki ya NMB yaliyofanyika Mlimani City Jijini Dar es Salaamtarehe 17 Juni, 2023. Wengine katika […]
Read More