DKT. CHEMBA AWASILISHA TAARIFA YA HALI YA UCHUMI NA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA 2023/2024
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akiwasilisha Taarifa ya Hali ya Uchumi kwa mwaka 2022 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2023/2024, bungeni jijini Dodoma. UTANGULIZI Mwaka 2023/24. Pamoja na hotuba hii, nawasilisha vitabu vya Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2022 na Mpango wa […]
Read More