DKT. TAX AZUNGUMZA NA NAIBU WAZIRI MKUU, WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA WA ITALIA JIJINI ROMA

DKT. TAX AZUNGUMZA NA NAIBU WAZIRI MKUU, WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA WA ITALIA JIJINI ROMA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Stergomena Tax akisalimiana na mwenyeji wake Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Antonio Tajani walipokutana kwa mazungumzo yaliyofanyika ofisini kwake jijini Roma, Italia tarehe 9 Juni, 2023. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika […]

Read More
 GLOBAL FUND KUENDELEA KUIUNGA MKONO TANZANIA

GLOBAL FUND KUENDELEA KUIUNGA MKONO TANZANIA

Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora Dkt. John Mboya akiongoza kikao cha pamoja na ugeni kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na Sekretarieti ya Kamati ya Kitaifa inayoratibu na kusimamia fedha kutoka Mfuko wa Dunia (Global Fund) kabla ya kuanza ziara ya kukagua miradi inayofadhiliwa na mfuko wa Dunia katika Mkoa huo. SERIKALI imepongeza jitihada […]

Read More
 MSIGWA: SERIKALI YA AWAMU YA SITA INA NIA NJEMA NA BANDARI ZETU

MSIGWA: SERIKALI YA AWAMU YA SITA INA NIA NJEMA NA BANDARI ZETU

Sakata la ubinafsishaji wa Bandari ya Dar es Salaam limeendelea kutolewa ufafanuzi na Serikali kwa kuwatoa hofu Watanzania kwamba wasiwe na shaka kwani kila kitu kitakwenda sawa kwani utaangalia maslahi mapana ya nchi tofauti na baadhi ya watu wakiwemo wanasiasa ambao wanadaiwa kupotosha jamii kwamba mkataba huo umeshasainiwa.Akizungumza na Jukwaa la Wanahabari wa Mitandao ya […]

Read More
 SIMBACHAWENE AFANYA KIKAO KAZI NA MAKAMISHNA WA TUME YA UTUMISHI WA UMMA KUHIMIZA UWAJIBIKAJI

SIMBACHAWENE AFANYA KIKAO KAZI NA MAKAMISHNA WA TUME YA UTUMISHI WA UMMA KUHIMIZA UWAJIBIKAJI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akizungumza na Makamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma jijini Dodoma wakati wa kikao kazi chake na Makamishna hao kilicholenga kuhimiza uwajibikaji. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akizungumza na Makamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma […]

Read More
 SIKU 100 ZA KATIBU MKUU MADINI MADARAKANI, BITEKO ATAKA SEKTA HIYO KUCHANGIA FEDHA ZA KIGENI

SIKU 100 ZA KATIBU MKUU MADINI MADARAKANI, BITEKO ATAKA SEKTA HIYO KUCHANGIA FEDHA ZA KIGENI

Waziri wa Madini, Doto Biteko *Dodoma* Zikiwa zimetimia Siku 100 tangu ateuliwe na kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Februari 27, 2023 kuiongoza Wizara ya Madini, Juni 7, 2023, Katibu Mkuu Kheri Mahimbali akizungumza na Watumishi wa Wizara, aliwaeleza Mikakati Kabambe inayolenga kuifanya Sekta ya Madini Kuzalisha Zaidi. […]

Read More