📌 Mashine ya 9 yakabidhiwa, yakamilisha MW 2115 – JNHPP
📌 Aitaka Jumuiya ya Wazazi ieleze Watanzania mafanikio ya Serikali
📌 Asema kuongezeka kwa mahitaji ya umeme nchini kunachochea ukuaji wa viwanda
📌 Atoa wito kwa Watanzania kuzingatia matumizi bora ya umeme
Na Mwandishi Wetu, Arusha

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan sekta ya nishati imepiga hatua kubwa nchini sambamba na kuzalisha umeme wa ziada dhidi ya mahitaji ya Watanzania.
Dkt. Biteko amesema hayo Machi 23, 2025 jijini Arusha wakati akitoa takwimu kuhusu ongezeko la mahitaji ya umeme nchini katika Kikao cha Baraza Kuu la Wazazi Taifa.
“ Rais Samia amefanya kazi kubwa katika sekta ya nishati nchini na hivi karibuni, tulikuwa nchini Barbados kueleza mafanikio yetu katika sekta hii kwa kuwa Rais Samia amefanya jitihada kubwa sana katika ya nishati,” amesema Dkt. Biteko.

Ameongeza “Ili uchumi wa nchi yoyote duniani upatikane lazima kuwe na sekta ya nishati. Aidha, katika sekta ya nishati ili viwanda viweze kuendelea umeme unaohitajika ni asilimia 40 na katika sekta ya madini umeme unaohitajika ni asilimia 30,”
Dkt. Biteko amesema mwaka 2017 hadi 2018 mahitaji ya juu ya umeme nchini yalikuwa megawati 1045, mwaka 2018 hadi 2019 mahitaji ya juu ya umeme yalikuwa megawati 1,116 mwaka 2021 hadi 2022 megawati 1,340.7.
“ Mwaka 2022 hadi 2023 mahitaji ya juu yaliyoongezeka na kufikia megawati 1,470 na mwaka 2024 hadi kufikia sasa mwaka 2025 ni megawati 1,908 ikiwa ni sawa na megawati 262, ongezeko la mahitaji ya namna hii haliwezi kutokea kama hakuna uwekezaji katika sekta ya nishati,” amesema Dkt. Biteko.

Aidha, Dkt. Biteko amesema kuwa Mashine ya tisa ya mtambo wa kuzalisha umeme katika Bwawa la Julius Nyerere Machi 22, 2025 imekabidhiwa na kuunganishwa kwenye Grid ya Taifa. Amesisitiza kuwa kutokana na ongezeko hilo la megawati za umeme Bwawa la Kuzalisha Umeme la Julius Nyerere pekee linaweza kutosheleza mahitaji ya nchi licha ya kumalizika kwa muda uzalishaji wa umeme kwa kutumia mitambo ya Songas.
“Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan sekta ya nishati imefanya kazi kubwa, Rais Samia ametenda maajabu katika sekta hii na ameweza kuvutia wawekezaji wengi sana kuja kuwekeza nchini,” amesema Dkt. Biteko.
Aidha, amesema kuwa Jumuiya ya Wazazi nchini ina wajibu wa malezi na mazingira na kuwa nishati safi ni eneo mojawapo hivyo Wizara ya Nishati ina wajibu wa kushirikiana na wadau mbalimbali ikiwemo Jumuiya hiyo, sambamba na kushirikiana nayo katika kampeni zake za kupeleka ujumbe kwa jamii.

Pamoja na hayo, Dkt. Biteko amewaasa Watanzania kuzingatia matumizi bora ya umeme kwa kuacha mazoea yanayosababisha upotevu wa umeme ikiwemo kuwashaa taa bila kuwa na matumizi nazo.
Ametolea mfano kuhusu matumizi mabaya ya umeme kupitia utafiti uliofanywa na Wakala wa Nishati wa Kimataifa (International Energy Agency) ambapo asilimia 30 ya umeme unapotea kutokana na mazoea.
Katika hatua nyingine, taasisi mbalimbali ikiwemo Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (TANAPA) zimewasilisha mada mbalimbali katika semina hiyo.

Pia, Wizara ya Nishati kupitia taasisi zake za TPDC, REA na TANESCO zimetoa semina kwa wajumbe wa kikao hicho kuhusu Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia 2024 hadi 2034, Matumizi Sahihi ya Nishati Safi ya Umeme.
Ambapo, Kaimu Mkurugenzi wa Kitengo cha Nishati Safi ya Kupikia, kutoka Wizara ya Nishati, Bw. Ngeleja Mugejwa ameeleza faida mbalimbali za matumizi ya nishati safi ya kupikia hususan kwa watoto wa kike ambapo kupitia matumizi ya nishati hiyo itawasaidia kupata muda mwingi wa kujisomea kuliko kuandaa na kupika chakula.
9 Comments
Mehmet Akif su kaçak tespiti Şişli’deki ofisimizde ciddi bir su kaçağı vardı. Testo termal kameralarıyla hızlıca buldular. http://warsawdispatch.com/?p=1363
Устал терять в игровом клубе? Довольно делать ставки вслепую! Подписывайся на Рейтинг Казино! ??
Позабудь о слитых депозитах и огорчениях! Наш Telegram-канал “Наш канал” будет твоим верным помощником в вселенной азартных игр!
Что тебя поджидает в нашем канале:
Беспристрастные анализы заведений: Мы рассматриваем каждый аспект – от правового статуса и репутации до бонусов и быстроты выплат. Никаких пиара, исключительно правдивая информация!
Актуальные табели о рангах: Выясни, которые заведения на самом деле переводят деньги и дают лучшие правила для игроков!
Эксклюзивные подарки и купоны: Воспользуйся лучшие предложения от надежных платформ!
Актуальные известия из области азартных игр: Будь в курсе свежих фактов и тенденций!
Указания и тактики от опытных пользователей: Увеличь свои шансы на успех и делай ставки с головой!
Перестань полагаться на везение! Пришло время делать ставки осознанно!
Вступай на “Канал “Рейтинг Казино”” прямо сейчас и преобразуй игру в выгоду!
https://telegra.ph/Pravda-o-Kazino-Rejting-CHestnyh-i-Nechestnyh-Platform-03-23
http://peling.ru/wp-content/pages/mir_priklucheniy__ogon_i_voda___igra_s_ogonkom.html скачать свинку пеппу бесплатно на телефон
https://www.snabco.ru/fw/inc/geometry_dash__pogruzghenie_v_mir_geometricheskih_priklucheniy.html игры денди на ноутбук скачать бесплатно
Les codes promo 1xBet valide sont des clés essentielles pour maximiser vos gains lors de vos paris en ligne. Disponibles gratuitement ou via des plateformes comme Telegram, ils offrent des bonus allant jusqu’à 200% sur votre dépôt initial. Ces codes sont particulièrement populaires en Afrique, notamment en Côte d’Ivoire, au Sénégal, au Cameroun et au Congo-Brazzaville. Que vous soyez à Abidjan, Douala ou Dakar, utiliser un code promo 1xBet améliore vos chances de succès et vos gains potentiels.
Harbiye su kaçağı tespiti Ataşehir su kaçağı tespiti: Ataşehir bölgesinde su sızıntılarını profesyonel ekipmanlarla tespit ediyoruz. https://urldetective.co.uk/fr/domain/uskudartesisat.com
bk4uh6
Use 1XBET promo code: 1X200NEW for VIP bonus up to €1950 + 150 free spins on casino and 100% up to €130 to bet on sports. Register on the 1xbet platform and get a chance to earn even more Rupees using bonus offers and special bonus code from 1xbet. Make sports bets, virtual sports or play at the casino. Join 1Xbet and claim your welcome bonus using the latest 1Xbet promo codes. Check below list of 1Xbet signup bonuses, promotions and product reviews for sportsbook, casino, poker and games sections. To claim any of the 1Xbet welcome bonuses listed in above table we recommend using the 1Xbet bonus code at registration of your account. New customers will get a €130 exclusive bonus (International users) when registering using the 1Xbet promo code listed above. 1Xbet Sportsbook section is the main place where users hang out, with over 1000 sporting events to bet each day. There are multiple choices to go for, and the betting markets, for example for soccer matches, can even pass 300 in number, and that is available for both pre-match and live betting, which is impressive and puts it right next to the big names in the industry.
Устал терять в казино? Перестань делать ставки без разбора! Подписывайся на Наш Telegram канал “Рейтинг Казино”! ??
Оставь в прошлом о слитых вкладах и огорчениях! Наш Telegram-канал “Канал “Рейтинг Казино”” станет твоим надежным помощником в вселенной гемблинга!
Что тебя ожидает в здесь:
Объективные обзоры игровых платформ: Мы анализируем всё – от разрешения и репутации до плюшек и скорости переводов. Никаких рекламы, только правдивая данные!
Последние списки: Узнай, которые платформы реально переводят выигрыши и предлагают лучшие правила для пользователей!
Эксклюзивные подарки и коды: Бери лучшие акции от заслуживающих доверия казино!
Актуальные известия из области гемблинга: Будь в знании последних случаев и тенденций!
Рекомендации и планы от бывалых игроков: Повысь свои шансы на успех и делай ставки с головой!
Довольно рассчитывать на удачу! Пора делать ставки осознанно!
Подписывайся на “Наш Telegram канал “Рейтинг Казино”” прямо сейчас и преобразуй азарт в прибыль!
https://t.me/s/spisok_luchshih_kazino