Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzu Taifa Ndg. Abdulrahman Kinana, AKIMKABIDHI KADI ZA Pikipiki 16 KATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA KIBITI Ndg. Muhidini Zakaria kwa ajili ya Viongozi wa CCM Kata Zote za Wilaya Hiyo zilizotolewa na Mbunge Wa Jimbo la Kibiti Mhe. Ally Mpembenwe
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahman Kinana amepongeza uamuzi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan Hassan wa kuunda wizara inayohusika na mipango.Pia, amepongeza hatua ya kuifanya Tume ya Mipango kuwa chini ya ofisi ya Rais ambapo amesema itaongeza kasi na uhakika wa mipango ya maendeleo nchini.

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzu Taifa Ndg. Abdulrahman Kinana, Akizungumza na Wanachama pamoja na Wananachi katika mkutano wa hadhara uliondaliwa na Mbunge wa Jimbo la Kibiti Mhe. Ally Mpembenwe kueleza kazi kubwa ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM iliyofanyika Wilayani Kibiti mkoani Pwani.
Kinana ameyasema hayo jana Wilayani Kibiti mkoani Pwani kupitia mkutano wa hadhara uliondaliwa na Mbunge wa Jimbo la Kibiti Ally Mpembenwe kueleza kazi kubwa ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM iliyofanyika katika jimbo hilo.“Hivi karibuni Rais ameunda wizara mpya inayoshughulika na mipango, kwa lugha nyingine ni Tume ya Mipango ambayo ipo ofisini kwake, lengo lake moja tu, tumekuwa tukifanya mambo mengi nchi hii lakini bila mipango mizuri, Rais akaona wizara ile inapoitwa Wizara ya Fedha na Mipango inafanya kazi zaidi ya kukusanya na kutumia kuliko kupanga akaona hapana, nadhani ni vizuri sasa tutengengeze wizara ya mipango,” amesema
Amesema Tanzania tangu Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Nyerere akiwa hai, wizara hiyo ilikuwepo, ndiyo iliyokuwa ikipanga maendeleo ya nchi hata hivyo baadae iliondolewa.

“Rais katika uzoefu wake akaona hapana, hakuna maendeleo bila ya mpango, hakuna mapato bila mpango, hakuna matumizi bila mpango, kwa hiyo wizara hii na tume hii itakapoanza kazi ninawahakikishia Watanzania maendeleo yatakuwa ya uharaka zaidi kuliko ya sasa na kuliko mlivyowahi kuyaona.
“Kwa hiyo tunampongeza sana Rais (Dk. Samia), tunakipongeza Chama Cha Mapinduzi kwa sera nzuri kwa sababu na Rais wetu ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na yeye serikali ya inasimamia utekelezaji wa sera na Ilani (ya uchaguzi) ya Chama Cha Mapinduzi,” amesema.
32 Comments
ラブドール オナニーthe female incurs biological costs in producing and rearing offspring,while the male’s contribution is just a bit of sperm.
ラブドール エロAlthough she freely talked about her various experiences of being physically abused by her husband,she had answered “no” when asked if she had ever been raped by him.
1win https://www.1win10.com.ng .
1win 1win105.com.kg .
mostbet.kg mostbet1000.com.kg .
most bet mostbet1001.com.kg .
portofele electronice casino http://1win5000.ru/ .
aplicația 1win http://1win5001.ru/ .
mostbets https://mostbet1003.com.kg/ .
мостбет официальный сайт mostbet1002.com.kg .
1 win казино 1 win казино .
мостбет скачать бесплатно http://www.dubna.myqip.ru/?1-18-0-00000145-000-0-0-1741708632 .
1win скачать http://aktivnoe.forum24.ru/?1-2-0-00000100-000-0-0-1741701286 .
скачат мостбет https://www.aktivnoe.forum24.ru/?1-8-0-00000260-000-0-0-1741701879 .
1 вин войти https://aktivnoe.forum24.ru/?1-8-0-00000259-000-0-0-1741701621/ .
мостюет http://cah.forum24.ru/?1-19-0-00000715-000-0-0-1741702061 .
1vin pro https://1win112.com.kg .
1win win 1win win .
поддержка мостбет http://mostbet1011.com.kg .
1 win http://1win11.com.ng .
адин вин адин вин .
1win онлайн 1win708.ru .
1хwin 1хwin .
1вин http://www.1win709.ru .
1вин войти 1вин войти .
1 win.pro http://1win819.ru/ .
игра 1вин http://1win820.ru/ .
вин 1 https://1win808.ru .
мостбет авиатор http://www.mostbet1006.com.kg .
мостбет авиатор https://mostbet787.ru/ .
мост бет mymoscow.forum24.ru/?1-2-0-00000718-000-0-0-1742357638 .
1win cazino https://1win705.ru/ .