WAZIRI MKUU ASISITIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI KWA WATANZANIA WOTE

WAZIRI MKUU ASISITIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI KWA WATANZANIA WOTE

▪Awataka Wana-CCM kujiandaa na Uchaguzi Mkuu▪Asema Wana-CCM wanaowajibu wa kueleza kwa watanzania utekelezaji wa Ilani WAZIRI MKUU, amewasisitiza Watanzania wote kushirikiana na Serikali kuweka mkazo kwenye matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa kubadili utaratibu za kupika chakula ili kuachana na matumizi ya kuni na mkaa. “Mwenyekiti wetu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Mheshimiwa […]

Read More
 WASIRA: UAMUZI WA MKUTANO MKUU UMEZINGATIA KATIBA YA CCM

WASIRA: UAMUZI WA MKUTANO MKUU UMEZINGATIA KATIBA YA CCM

Awapa darasa wanaodai sababu ya CCM kupitisha wagombea Urais MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mainduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema uamuzi wa Mkutano Mkuu Maalum wa CCM, uliomchagua Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kugombea kiti cha Urais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, umezingatia takwa la kikatiba na mamlaka ya Mkutano Mkuu. […]

Read More
 RAIS WA BENKI YA DUNIA AWASILI NCHINI

RAIS WA BENKI YA DUNIA AWASILI NCHINI

Rais wa Benki ya Dunia (WBG), Bw. Ajay Banga amewasili nchini kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati ujulikanao kama “Mission 300”, utakaofanyika tarehe 27 hadi 28 Januari 2025 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam. Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius […]

Read More
 MAJALIWA AFUNGUKA, MSIWAFICHE WATOTO WALEMAVU, HAKI ZAO ZILINDWE KWA WIVU MKUBWA

MAJALIWA AFUNGUKA, MSIWAFICHE WATOTO WALEMAVU, HAKI ZAO ZILINDWE KWA WIVU MKUBWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa, amewataka wazazi na walezi wasiwafiche watoto wenye ulemavu na wahakikishe wanafahamika mahali walipo, hali zao za ulemavu ili waweze kupata huduma stahiki na washiriki kikamilifu katika maendeleo ya Taifa. Mheshimiwa Majaliwa ameyasema hayo leo (Jumamosi, Januari 25, 2025), wakati akizindua Kanzidata na Mfumo wa Taarifa za Watu Wenye Ulemavu unaotokana na […]

Read More
 KIGAMBONI WAPATA ‘TEKSI ZA BAHARINI’ ULEGA ASEMA NI MATUNDA YA UBUNIFU WA RAIS SAMIA

KIGAMBONI WAPATA ‘TEKSI ZA BAHARINI’ ULEGA ASEMA NI MATUNDA YA UBUNIFU WA RAIS SAMIA

Baada ya miaka mingi ya usumbufu wa usafiri wa kwenda Kigamboni, serikali na kampuni ya Azam Marine zimetangaza ujio mpya wa vivuko utakaopunguza kwa kiasi kikubwa adha ya usafiri kuelekea eneo hilo. Akizungumza katika uzinduzi wa vivuko hivyo, Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema vivuko vilivyozinduliwa siku ya Jumatano tarehe 22 Januari 2025, vitaungana na […]

Read More
 MATOKEO KIDATO CHA IV FEZA BOYS YAIBUKA KIDEDEA WANAFUNZI WOTE DARASANI WAPATA ALAM A(DIV ONE)

MATOKEO KIDATO CHA IV FEZA BOYS YAIBUKA KIDEDEA WANAFUNZI WOTE DARASANI WAPATA ALAM A(DIV ONE)

SHULE za FEZA (FEZA SCHOOLS) zinajivunia uwekezaji iliyofanya katika kumuandaa mwanafunzi kuwa bora na ndio siri ya kufanya vizuri kila mwaka katika mitihani ya Taifa ambapo imeendelea kung’ara baada ya wanafunzi wao wote waliofanya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne mwaka jana kupata daraja la kwanza(div I), huku asilimia zaidi ya 65 wakipata div […]

Read More
 JESHI LA POLISI KUENDELEA KUSIMAMIA USALAMA SHUGHULI ZA VYAMA VYA SIASA BILA KUJALI ITIKADI

JESHI LA POLISI KUENDELEA KUSIMAMIA USALAMA SHUGHULI ZA VYAMA VYA SIASA BILA KUJALI ITIKADI

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa Jeshi la Polisi litaendelea kutekeleza jukumu lake la kikatiba kwa kusimamia usalama katika mikutano na shughuli za Vyama vya Siasa bila kujali itikadi ya Chama cha Siasa chochote. Amelipongeza Jeshi la Polisi kwa kusimamia ulinzi na usalama kwa Vyama vyote […]

Read More