DAKTARI WA UPASUAJI WA MOYO KUTOKA ZAMBIA APATA MAFUNZO JKCI, KUIMARISHA HUDUMA ZA UPASUAJI WA MOYO

DAKTARI WA UPASUAJI WA MOYO KUTOKA ZAMBIA APATA MAFUNZO JKCI, KUIMARISHA HUDUMA ZA UPASUAJI WA MOYO

Daktari wa upasuaji wa moyo kutoka Hospitali ya Taifa ya Moyo ya Zambia amewasili katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) nchini Tanzania kwa mafunzo ya kuongeza ujuzi wake. JKCI inajiandaa kuanza kutoa huduma za upasuaji wa moyo hivi karibuni na imeweka mkakati wa utekelezaji. Daktari huyo amekuja kujifunza jinsi ya kuanzisha huduma ya upasuaji […]

Read More
 SERIKALI YA TANZANIA NA JAPAN (JICA) KUSHIRIKIANA KUENDELEZA MICHEZO NCHINI

SERIKALI YA TANZANIA NA JAPAN (JICA) KUSHIRIKIANA KUENDELEZA MICHEZO NCHINI

Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amesema Wizara hiyo itaendelea kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya Japan (JICA)katika sekta ya michezo nchini ili kuendelea kutoa ajira kwa watu wengi zaidi hatua inayosaidia kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla.  Bw. Yakubu amesema katika kikao chake na Mtaalamu wa michezo kutoka Shirika la Maendeleo ya […]

Read More
 DKT. NCHEMBA ATOA AGIZO LA KUTAFUTA SULUHU YA UPUNGUFU WA DOLA ZA MAREKANI KATIKA SOKO LA FEDHA

DKT. NCHEMBA ATOA AGIZO LA KUTAFUTA SULUHU YA UPUNGUFU WA DOLA ZA MAREKANI KATIKA SOKO LA FEDHA

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amewaagiza wataalamu wa Wizara ya Fedha na Mipango na ujumbe kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), kujadili namna ya kushughulikia athari za upungufu wa dola za Kimarekani katika mzunguko wa fedha ili kunusuru uchumi wa nchi zinazoendelea. Mhe. Dkt. Nchemba (Mb) ametoa maagizo […]

Read More
 MSIGWA:NDEGE KUBWA YA MZIGO KUWASILI NCHINI JUNI 3

MSIGWA:NDEGE KUBWA YA MZIGO KUWASILI NCHINI JUNI 3

Mkurugenzi wa Idara ya Habari – MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema ndege ya mizigo inatarajia kufika nchini Juni 3 mwaka huu na kuwa Juni 1, 2023, Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhe. Makame Mbarawa atazungumza na waandishi wa habari kuhusu upokeaji wa ndege hiyo. Amesema hayo leo Mei 31, 2023 katika […]

Read More
 MAJALIWA: WATANZANIA TUMIENI NISHATI MBADALA

MAJALIWA: WATANZANIA TUMIENI NISHATI MBADALA

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa Watanzania kutumia nishati mbadala kwa lengo la kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Serikali imeunda kamati ya kitaifa kutoa elimu na kuhamasisha matumizi ya nishati mbadala. Waziri Mkuu pia amewataka wajasiriamali kutumia rasilimali za ndani kuzalisha nishati mbadala. Amesifu jitihada za Wakala wa Umeme Vijijini (REA) katika […]

Read More
 MAJADILIANO YA KINA: WAZIRI MKUU BUNGENI

MAJADILIANO YA KINA: WAZIRI MKUU BUNGENI

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, alishiriki vikao vya Bunge jijini Dodoma na kufanya mazungumzo na mawaziri kadhaa. Miongoni mwa mazungumzo hayo, Waziri Mkuu alikutana na Waziri wa Mambo ya Nje ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Stagomena Tax, ambaye ametoa hotuba na bajeti ya Wizara yake kwa mwaka wa fedha 2023/2024. Waziri Mkuu pia alikutana […]

Read More