CHILO: MISIMAMO THABITI YA GAMBO NI FAHARI YA WANANCHI WA ARUSHA
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Khamis Hamza Chilo, amempongeza Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo, kwa juhudi zake za kuwahudumia wananchi wa jimbo hilo. Akizungumza Jumamosi, Januari 11, 2025, katika Hafla Maalumu ya Uhamasishaji na Kutoa Elimu ya Nishati Safi ya Kupikia kwa Viongozi wa Dini ya Kiislam, Chilo amesema […]
Read More