DKT. BITEKO AKAGUA UJENZI WA OFISI YA WAZIRI MKUU NA JENGO LA WIZARA YA NISHATI DODOMA
📌 Aagiza ujenzi ukamilishwe haraka 📌 Majengo yakamilika kwa asilimia 88 📌 Wakandarasi waomba nyongeza siku 90 Na Mwandishi Wetu, Dodoma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amefanya ziara katika Mji wa Serikali, Mtumba jijini Dodoma kukagua maendeleo ya ujenzi majengo ya Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu […]
Read More