WANASHERIA WA SAMIA WAMALIZA KWA AMANI MGOGORO WA MAJIRANI MWANZA
Jopo la Wanasheria wa Serikali kutoka Wizara ya Katiba na Sheria wakiongozwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Haki za Binadamu Bi. Beatrice Mpembo Februari 19, 2025 Jijini Mwanza wamefanikiwa kutatua changamoto ya ardhi iliyokuwa ikiwakabili wananchi wa Kata ya Nyamagana. Hayo ya yamejili kufuatia utekelezaji wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Mama Samia […]
Read More