WAZIRI MKUU MAJALIWA AMPIGIA DEBE SILANGA, NI MBUNGE WA MFANO, MCHAPA KAZI NA MBUNIFU
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amemsifu Mbunge wa Jimbo la Itilima, Njalu Daudi Silanga, kwa ubunifu na juhudi zake katika kuwaletea wananchi maendeleo, akisema kuwa mchango wake umeleta mabadiliko makubwa katika wilaya hiyo. Akizungumza katika Uwanja wa Stendi uliopo katika kata ya Lagangabilili wilayani Itilima mkoani Simiyu siku ya Jumamosi […]
Read More