JANUARY MAKAMBA: RAIS DKT SAMIA ATASHINDA KWA KISHONDO UCHAGUZI UJAO
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, January Makamba, amesema kwamba chama chao kimeshafanya maamuzi kuhusu kiti cha urais kwa kumteua Rais Samia Suluhu Hassan kama mgombea na kwamba wanauhakika atashinda kutokana na turufu na rekodi nzuri ya mambo yaliyofanyika katika kipindi hiki. Alisisitiza kuwa CCM ina uhakika wa kushinda kutokana na […]
Read More